inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Serikali ni authorized criminals, police are more crooked than criminalsMbaya zaidi hizo products zao za software wanauza kwa yeyote , so hata criminals ,madikteta na serikali za kishenzi kama za Afrika huku zisizo jali haki za binadamu wala privacy , zinanunua na kudukua raia au watu wanaopingana nao na hata kutumia hizo data kupoteza maisha yao