Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
- #21
Mkuu mimi nimesimulia kisa cha kesi, hivyo unataka nizungumze ambacho hakiko kwenye kesi husika? Rejea vyanzo hivyo nilivyokuwekea hapoDu! hapa hukusema kuwa unga wa Azania unauzwa Rwanda toka kiwanda kiko Mwenge late 1990's. Hii ni sawa na case ya Acacia na Inayoitwa Twiga tofauti later walikuwa wanazungumzia Kahama Gold Mine Ltd na North Mara Gold Mine (Hii Migodi iko vile vile tu) sarakasi zilikuwa mbwembwe tu za watawala.
Azania unga unauzwa Kigali, majasusi wapya nendeni na field kupunguza bookish katika story. na kama huu ni ujasusi basi mara 800 ule wa Willy Gamba.