Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,147
TISS wana mfumo wao wa peke yao wa mawasiliano ngoja niishie hapa.but we are safe
TISS wana mfumo wao wa peke yao wa mawasiliano ngoja niishie hapa.but we are safe
TISS wana mfumo wao wa peke yao wa mawasiliano ngoja niishie hapa.but we are safe
Mfumo gani ata komputer wanazotumia hawajui zimetokea wapi na zimetengenezwa na kampuni gani! Labda gud things CIA hawana cha mhimu cha kuchukua kwetu.
Natamani kuongea ila itakua threat kwa national security ila kwa kifupi mi najua tuko safe na tuna mfumo wa peke yetu wa mawasiliano
ha ha ha acha makidai wewe. Wewe unatumia device gani kutuma meseji hapa jamii forums? Je unatuma ukiwa ofisini? Hicho kisimu chako kinaweza kuwa hacked kikawa na listening device watu wakasikiliza maongezi yanayoendelea ofisini kwenuNatamani kuongea ila itakua threat kwa national security ila kwa kifupi mi najua tuko safe na tuna mfumo wa peke yetu wa mawasiliano
Achana na porojo za huyo jamaa. Jengo refu lilikuwa linajengwa karibu na ikulu hawakuliona hilo mpaka walivyokuja secret service halafu eti ndo anasema wapo makini. Analeta hadithi za abunuwasi:heh:Teh.! National threat hivi tangu obama kuondoka wamesha kagua paa la ikulu kama hapakuachwa kitu? Teh teh huo mfumo wa kipekee umegunduliwa na wataalam wetu au ni kupitia shule za weupe? Ntarudi badae kdogo
Hizo device na application mbalimbali mnatengeneza wenyewe kiasi kwamba hata mataifa yaliyoendelea yasiweze,au tuseme TISS ipo juu kuliko ujerumaniTISS wana mfumo wao wa peke yao wa mawasiliano ngoja niishie hapa.but we are safe
Natamani kuongea ila itakua threat kwa national security ila kwa kifupi mi najua tuko safe na tuna mfumo wa peke yetu wa mawasiliano