Bill of Quantity
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 1,233
- 406
kama wameweza kumpekuwa rais wa brazil, kansela wa Ugerumani watashindwaje kwa tanzania ambayo mambo yake mengi yako Hovyo.
Nilishangaa sana kumuona balozi wa china akimkabidhi spika makinda computer kadhaa za kutumika ofisi za bunge ambapo ni zawadi kutoka serikali ya china.
hatuongelei mfumo wa mawasiliano tu. tunaongelea kitendo cha kutumia computer to type anything ni issue. The moment ile computer itapokuwa connected kwenye mtandao ita transfer document zote ulizozizitype kwa hiyo PC hata kama hilo faili litakuwa limefutwa. Mfumo wa mawasialiano gani ambao hauwezi kuwa hacked? Kama ni radio communication still watu wana scramble frequency. Hatuna uwezo wa kuzuia penetration kutoka kwa hawa mabwana wakubwa. hizo gari wanazoendesha TISS zinanunuliwa wapi? Je hakuna planted devices huko zinapotoka? Hivyo vifaa vyote wanavyotumie do they scan them for bugs wakivinunua? Kama wantumia any electroni c equipments hawapo safe. Ndo maana Osama alikuwa hatumii vifaa vya electronics including satelite dish.
hujui unachokisema mkuu. ngoja tusiende mbali.If you know all of that.... why don't they (TISS) know it as well.. perhaps more??
TISS wana mfumo wao wa peke yao wa mawasiliano ngoja niishie hapa.but we are safe
hujui unachokisema mkuu. ngoja tusiende mbali.
Please.. endelea mkuu. Nieleweshe ili niweze jua nini sikijui. Kuishia hapo ulipo ni kuafikiana na mimi nisiyejua kitu
Hujui unachoongea.Usilolijua ni kama usiku wa giza.Ulitaka serikali iitishe press conference na kutangaza vyombo vyote vya habari kuwa inahitaji vijana kuwapeleka kusomea information security kama wanavyofanya kwa waendao kusomea mafuta? Kwa taarifa yako wapo.
Government ijaribu kutunyanyua wana tech ili kuja kusuka mifumo salama ya mawasiliano yani tuagize tu vifaa nje but circuit nzima isukwe apa kama pc au hata mobile zinazotumiwa ni viongozi mfumo wa vyuo vya tech ubadilishwe pia badala ya kusoma installation na maintenance tuanze kusoma production and design Hapo wataalamu bora watapatikana kwenye technology tuondoe siasa habari za kubebana kindungu tuziache kwenye mambo ya procurement hapa tuchukue greater thinker...All in all mbabe wa technology ndo anatawala dunia
Huwezi kuwa safe kama unatumia products za Huawei. Watu wana-focus only kwenye mashirika ya Magharibi lakini ukweli ni kwamba China kupitia Huawei anafanya ujasusi wa hali ya juu. Vifaa vinaingia na hakuna mtu anayevikagua kutambua chips zilizowekwa purposely kwa ajili ya kurekodi digital files.
Serikali ime-focus kupeleka vijana kusomea mambo ya mafuta lakini wanasahau kupeka vijana kusomea information security. Je hao wataalamu wa mafuta wataweza ku-protect info zinazohusiana na uchimbaji hadi uuzaji wa mafuta? Fuatilia Stuxnet ujuwe watu walivyo-advance kwenye cyber warfare.
Wewe unajua TISS wanatumia computer brand gn?
We ujakutana na moderators uchwara humu ndani mbona wanawafanyia watu wengi tu humu JF. Jaribu kufungua sensitive websites za nchi za nje halafu jaribu kufanya application utapata warning na kuwa logout automatically kuna mtu anachukua information unazo type.If you know all of that.... why don't they (TISS) know it as well.. perhaps more??
Wewe unajua TISS wanatumia computer brand gn?
Na hapo ndipo utata unapoanza. Ndugu zangu electronic technology ni wide na ndio ina lead technology nyingine. Hivyo tunatakiwa kuwekeza huku kwa nguvu zote. Sio miaka kibao mtu yupo chuoni anajifunza kutumia na kufanya marekebisho madogo madogo