ahsanteHuwezi kuwa safe kama unatumia products za Huawei. Watu wana-focus only kwenye mashirika ya Magharibi lakini ukweli ni kwamba China kupitia Huawei anafanya ujasusi wa hali ya juu. Vifaa vinaingia na hakuna mtu anayevikagua kutambua chips zilizowekwa purposely kwa ajili ya kurekodi digital files.
Serikali ime-focus kupeleka vijana kusomea mambo ya mafuta lakini wanasahau kupeka vijana kusomea information security. Je hao wataalamu wa mafuta wataweza ku-protect info zinazohusiana na uchimbaji hadi uuzaji wa mafuta? Fuatilia Stuxnet ujuwe watu walivyo-advance kwenye cyber warfare.
watu wanafurahisha sana,mimi nadhani mkweli ndo mzalendoUnataka uzalendo Au ukweli?
daa dunia ina wenyeweha ha ha acha makidai wewe. Wewe unatumia device gani kutuma meseji hapa jamii forums? Je unatuma ukiwa ofisini? Hicho kisimu chako kinaweza kuwa hacked kikawa na listening device watu wakasikiliza maongezi yanayoendelea ofisini kwenu
Freelancer if you can't fight them, then join them. there is no way we can fight the americans, all ai all hatuna maslahi ya moja kwa moja kwa marekani zaidi ya wao kuwa na maslahi ya moja kwa moja kwetuHii ni news from Reuters kwamba kuna firmware imekuwa planted na moja ya intelligence agencies katika kila hard disk zinazotoka nchini marekani.
Hii firmware ina start pale unapo boot computer. Through that firmware wanaweza waka track averything stores on your machine. The only organization that can pull this stunt is NSA.
Kwa hiyo TISS na JWTZ kama computer zenu zipo kwenye mtandao au computer kama laptop zinazotumiwa na top officials zipo kwenye mtandao hapo mju tayari NSA knows everything.
KWeli aliye mbebe kwenye technology ndo atatawala dunia
[h=1]Possibility of NSA having a spy firmware in each hard disk[/h]
Nakukubali kaka....umetype fact iliyoshiba mnoo.....!!..hatuongelei mfumo wa mawasiliano tu. tunaongelea kitendo cha kutumia computer to type anything ni issue. The moment ile computer itapokuwa connected kwenye mtandao ita transfer document zote ulizozizitype kwa hiyo PC hata kama hilo faili litakuwa limefutwa. Mfumo wa mawasialiano gani ambao hauwezi kuwa hacked? Kama ni radio communication still watu wana scramble frequency. Hatuna uwezo wa kuzuia penetration kutoka kwa hawa mabwana wakubwa. hizo gari wanazoendesha TISS zinanunuliwa wapi? Je hakuna planted devices huko zinapotoka? Hivyo vifaa vyote wanavyotumie do they scan them for bugs wakivinunua? Kama wantumia any electroni c equipments hawapo safe. Ndo maana Osama alikuwa hatumii vifaa vya electronics including satelite dish.
556282858790Mkuu,
Hapo umegongelea kwenyewe. CIA has nothing kukomba kwenye jeshi letu, hata hivyo vitu viko uchi basi ni uzalendo ndiyo una-matter. CIA wenyewe wanahitaji kujua ni nani anafuatilia Uranium yetu basi, nothing else.
China katoa misaada kwenye taasisi nyeti hadi bunge lakini hakuna mtu ambaye anashtuka kukagua hizo devices. Fuatilieni mambo ya Huawei mjue ni vitu gani ambavyo walikuwa wanafanya hadi wakafikia hata kufukuzwa kwenye baadhi ya nchi. Sisi wabongo ndo tunakimbilia modem, routers, TV, PCs, tablets etc bila kushtuka. Hata jengo la AU makao makuu hakuna aliyeshtuka kuangalia devices zilizokuwa-installed mule na wa-China wakati ndiko kunafanyikia vikao vya wakuu wa nchi za Afrika. Poor my country and continent.
Juma chief ina maana hawa jamaa wa TISS hawaongei wala kucheka na majirani ama ndugu zao na hawana marafiki kabisaaa. basi wanaishi maisha ya ajabu sana kama ndio hivyoJamani tiss wanayajua yote hayo.....si wanakauli mbiu yao kwenye utendaji..."trust nobody...na kumuamini mtu ni kukikaribisha kifo"....
Sasa kama polisi ili wapate taarifa za kihalifu mpaka wawasiliane au waombe kwenye makampuni ya simu kwa kuwapigia magoti...badala ya serikali kuwezesha mfumo wote wa simu za mikononi kuwepo polisi...hiyo cyber crime ya polisi inasimamaje yenyewe.....ktk kupambana na uharifu..... kiufupi mwenye technology yake ndio yupo salama kwenye hili....kama makampuni yetu ya sim ndo wanunuzi wakubwa wa haya ma server na mitambo toka huawei na wakiwa wamarekani wanatengeneza back doors ina maana china tayari wanazo formal door je mawasiliano yetu yako salama kwa kiasi gani??.makampuni ya sim yanasemaje na serikali inasemaje??
serikali inampango gani na kukuza tec zetu,ikiwa jeshi bado linatumia yahoo adress na hii vita ya cyber war inatuathiri kwa kiasi gan??,hizi corporate company zetu zinajilinadaje??
je tuna bajeti ya kukuza technlogia yetu ikiwa elimu inapata fungu dogo kwenye bajeti yote,
kama kenya wameamua kuwekueza kwenye techlogia na kununua computer kwa wanafunzi wao..sisi tunawekeza kwenye nn??..maanna after some years kenya itakuwa mbele saana kwenye tec hapa east africa
Je Cyber crime unit ya police inakizi mahitaji yote ya jamii kwenye uharifu wa kimitandao?
are we naked?.
Natamani kuongea ila itakua threat kwa national security ila kwa kifupi mi najua tuko safe na tuna mfumo wa peke yetu wa mawasiliano