Ujenzi Bandari ya Bagamoyo: Aliyemshauri vibaya Rais Magufuli ni nani?

Magufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
Kwa vipi? Tuwekee hapa mkataba wa kweli, siyo unaodhaniwa, tuuchambue na sisi. Watu wanaogopa nini kuuchapisha?
 
sioni kama lengo ni lumchafua JPM. mlitaka CAG afiche report akae kimya?
Lengo linajulikana mzee, SSH mbona ameropoka na kujionyesha wazi yupo after kuchafua jina la JPM, mfano mwepesi inshu Kigwangala JPM alishawahi kuisema hadharani kabisa kuwa Waziri anagombana na Katibu mkuu wake kwa kuwa Kigwangala anataka kutoa pesa bila ya kufuata utaratibu, na akawapa muda wapatane vinginevyo atawafukuza wote, leo JPM anaambiwa alikuwa anaiba 600m hizo za Clouds???
 

 
Umekosea swali.Aliyemshauri vibaya Ndugai ni nani?
 
Hili hatuwezi kulikubali.Usenge wakuturudisha misri wakati tunaiona kanani haitawezekana asilani
 
Spika angalia utakuja sutwa sana haya nenda polepole. Angalia mwenzako Kigwa
 

Deusdedit Kakoko na genge wenzake ndio walikua wanamjaza uwongo Magufuli
 
Ukiacha kumskia Mwendazake... hayo masharti uliyaona wapi zaidi
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Ndugu yangu wanasiasa hawa si wa kuwapa dhamana,leo anasema hiki kesho anasema kile

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…