The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Kwanini unasema alikiwa right...tufungulie na sisi kile tusichokiona
Magufuli hakupinga Bandari ya Bagamoyo
Alikataa mkataba walioleta wachina
Mkataba wa wachina wanataja hela nyingi kuliko uhalisia wanaweka deni la mile
Wachina wanasema Bandari watajenga Kwa dollars bilion 20..
Sisi makusanyo yetu yote ya Kodi ni hayafiki hata dollars bilion 12 Kwa mwaka..
Halafu sehemu ya masharti ni kuwa wataimiliki bandari tukishindwa kulipa deni
Kitu ambacho ni so obvious..
Kingine bandari itakuwa kubwa mara 20 ya Bandari ya Dar but uwezekano wa mahitaji kuongezeka mara 20 ndani ya miaka hata 10 hakuna...
Magufuli baada ya kuona mkataba mbovu
Alianza tafuta wawekezaji wengine
Alishaongea hadi na waturuki..
Kumbuka hata ujenzi WA sgr wachina walitaka kutupiga ndo akawatafuta waturuki..
Mkataba alio saini Kikwete ni mbvu na haufai
Magufuli alikuwa right