Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,483
Hakuna anaye mchafua JPM, sema pazia lililo kua linafunika uongo limefunguliwa kila mtu anaona.Kama Spika na PM unataka wawajibike kwa nini unamruka aliyekuwa Makamu wa Rais, SSH...
Huyu mama ameruhusu awe loudspeaker ya wapuuzi wachache, na ameanzisha siasa chafu za kujaribu kumchafua JPM, alichokifanya JPM kitaendelea kukaa na kuonekana, yeye hamma anachoweza kufanya zaidi ya kuropoka ropoka tu ovyo.
Labda Msukuma ! Hivi kwanza Jiwe alikua na washauri au wapambe?
Humu humu tunawacheka Wakunya na mkataba wa Wachina na kinachoendelea huko.ikijengwa na ika kamilika hii bandari ya bagamoyo ipo siku Tuta mkumbuka JPM....
JPM alikataa yale masharti yaliyo kuwepo baada ya kuona ni unyonyaji ulio kidhiri....
Ndungai toka mwanzo alitaka hii bandari ijengwe....
Lazima uangalia kuwa hapa kuna kitu..
Ila sawa Wa afrika Ku uzwa tumesha zoea
Nani atausoma mkataba wa ujazo wa kurasa zaidi ya elfu moja?Wekeni hadharani mktaba huo ujadiliwe na tanuru la fikra kisha majibu watayapata kwa uamuzi ulio sahihi.
Habari wakuu
Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.
Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?
Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.
Naamini huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...
Kwani kuna mtu aliyeuona huo mkataba? Wabunge je?
Uzi tayari
Shida ni kwamba watu hawajaona huo mkataba, hivyo inawezekana hata baadhi ya yanayoelezwa iwe yametiwa chumvi au ni ya uongo.Magufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
Wewe si ndio ulikuwa kinara wa kutetea wanasiasa hata wale wabovu?Ndugai alikua mshauri wa Magufuli kwenye mambo gani??
Mambo mangapi itakua alimpotosha Rais??
Mambo mangapi atampotosha Rais wa sasa.
Tunafanya makosa sana kuwaacha hawa wanasiasa watuchezee akili namna hii.
Kwanini Ndugai asiachie ngazi tu kujiepusha na aibu zaidi??
I had a consistent vision ya huyo mtu for 10 years kwakua nilichukia sana sana ufisadi; I thought alikuwa Dr. Slaa baadaye I had a clear message kwamba atakuja na maneno gani kwenye campaign, alipoyaandika duuh for the first time I met God live in those words were exactly like I saw them; na vision hizo nimeziandika humu......Thats how I came into attachment...Namshukuru Mungu kwakua hayati amekuwa kwangu ushuhuda kwamba He, God hears and answer prayers...Na kuna mengine yana kuja its not the end of story...I am just watching!Mimi nakukumbuka Sana ulituambia atakuja Rais mlokole ..way back..
Attachment uliyonayo kwake naiheshimu Sana..
Nakumbuka those days Magufuli alikuwa waziri but ana attend makanisa ya kilokole kama Kwa Ferdinand openly..
So aliposhika nchi nilikumbuka maoni yako
Nikajua utakuwa umeguswa deep na Magufuli..
All in all ana mazuri yake na Mabaya yake..
But angalau hakuwa mwoga kuonesha msimamo wake waziwazi kwenye mambo kadhaa..likiwemo hili la mkataba mbovu wa Bandari ya Bagamoyo..
Kuna watu wanataka kumpa Presha Mama aanze kuruhusu kila kitu..
Nahofia inflation kubwa inakuja
Kwa kuwa hatujui vipengele vya huo mkataba, na kwa hiyosiyo rahisi kumuamini magufuli kwa aslimia mia kwa aliyoyasema juu ya bandari ya bagamoyo .Magufuli alikuwa right..
Sikumkubali Magufuli but Kwa Bandari ya Bagamoyo alikuwa 100 percent right
Kwahiyo? Unataka uungane nami kwenye unafiki au? Toroka ujeWe ni mnafiki.
Duh yeye alikua karibu sana na raisi kile kipindi...vp hajamwambia ukweli leo ndo anasema hayaHabari wakuu
Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.
Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?
Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.
Naamini huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...
Kwani kuna mtu aliyeuona huo mkataba? Wabunge je?
Uzi tayari
Tunaenda na Samia hadi #2045,utaki hama NchiEwe malaya toa maoni kwa kitu unachokielewa vema, acha kubweka hovyo kama mbwa koko!
Changia kwa adabu na uwe na hekima kwenye maandishi yako.
Habari wakuu
Leo spika wa bunge Ndugai kasema Hayati Magufuli alishauriwa vibaya kuhusu kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo na bunge linataka kupendekeza ikiwezekana bandali ijengwe tu.
Sasa hapa napata kigugumizi hao washauri wa Magufuli waliompotosha Magufuli ni akina nani?
Mimi binafsi nina wasiwasi na mkalimani aliyekuwa anamtafsiria huo mkataba Hatati Magufuli, huenda ndie alimshauri na kumtafsiria vibaya mlolongo mzima wa mkataba huo.
Naamini huo mkataba haukuwekwa hadharani kujadiliana sasa aliyemtafasiria akampoteza ...
Kwani kuna mtu aliyeuona huo mkataba? Wabunge je?
Uzi tayari
Mkuu,Kwanza omba mkataba wa Gas na bomba3 la Kusafirisha gas
Halafu mkataba wa hela za sandarusi
Hakuna haja, tujenge bandari ya nchi kavu CHALINZE ili kuongeza ufanisi wa huduma na kupunguza gharama na usumbufu wa magari makubwa kuingia Dar Es Salaam hivyo kuutanua mji wa Chalinze na vijiji vinavyozunguka kiuchumi hatimaye maendeleo kufikiwaSwali la msingi, Tujenge Bandari Kubwa(Africa) Karibu na Bandari ya Dar?
KUMBE, kwa hiyo hapo wigo unasemaje kusawazisha hii hali?Baada ya mwaka tu tutamkumbuka sana JPM, mafisadi wanaanza kurudi kwa kasi ya ajabu, JK is behind huu upuuzi wote, waweke mkataba wazi kama kweli una manufaa kwetu. SSH ni loudspeaker tu, nyaya zinatoka hukoooo, huyu ndio atakuwa Rais dhaifu na wa hovyo kuwahi kutokea Tz.