Ujenzi gorofa na utaratibu wa mipaka

Wewe unaonekana ni mtu mkorofi sana.
By the way, umbali ni mita moja kati ya jengo na mpaka wa kiwanja. Wewe pia unaacha moja, jumla zinakuwa mita mbili.
Kama hajajenga kwenye eneo lako, hakuna mgogoro hapo.
 
Kisheria nadhani ni Mita 1.5 kila mmoja. Jumla mita 3 kwa ajili ya majanga. Mfano Moto. Kuzuia usi sambae jengo la jirani.

Kwake, ana weza kuacha 1.5m distance kutoka fensini na ww uka acha 1.5m distance kutoka kwenye fensi kama mna share fensi (ukuta) mmoja. Watu hawataki kuacha space za uchochoro kuzuia wezi.
 
Kisheria anatakiwa aache mita 1.5 kutoka kwenye ukuta unaowatenganisha. Ili hata akiendelea kujenga kwenda juu athari za vitu kudondokea upande wako zisiwe kubwa sana.
 
Kisheria anatakiwa aache mita 1.5 kutoka kwenye ukuta unaowatenganisha. Ili hata akiendelea kujenga kwenda juu athari za vitu kudondokea upande wako zisiwe kubwa sana.

Hii inategemea ukubwa wa kiwanja hata hivyo Kariakoo sio Mfano mzuri kwa sababu kulikua na Kariakoo Redevelopment Scheme iliyoainisha namna na layout za majengo.
Kabla ya kujenga je aliweka bango la ujenzi!! Je ulienda kupinga manispaa ujenzi wake!? Kama hukufanya na ujenzi unaendelea nenda mara moja au andika barua aje Engineer na
Watu wa Mazingira na maafa wakague. Usikae na janga ujenzi hatari ni kifooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…