Ujenzi: Je, hii nyumba ya TAKUKURU Dodoma inafikia thamani tajwa ya Tsh. 143 milioni?

Ujenzi: Je, hii nyumba ya TAKUKURU Dodoma inafikia thamani tajwa ya Tsh. 143 milioni?

Sijakubaliana wala kupinga, ili nikubaliane au nipinge ningepata ramani ya nyumba hiyo na mapendekezo ya mshauri kuwa matirio gani yatatumika na maelekezo mengine.
Ujenzi hauangaliwi kwa macho ili kujua gharama
Fact
 
Haijawahi tokea katika construction eti Element bills zikawa same cost and percentage of contract sum. Iko hivi mf: SUBSTRUCTURES (Foundation)= 30% SUPERSTRUCTURES (Walling) = 12% ROOFING WORKS= 8% DOORS= 8% WINDOWS= 10% FINISHES = 18% PLUMBING & DRAINAGE SYSTEM WORKS = 8% PAINTING AND DECORATIONS = 3% ELECTRICAL WORKS= 3%. Mambo ni mengi ktk ujenzi sio suala la kukurupuka tu. Ngoja wafanye upya hio Evaluation utanambia hizo findings.
Asante kwa uelewa
 
Nilichogundua kwenye uzi huu wako wachangiaji wengi ambao hawajawahi kujenga wala kuhusika na ujenzi kwa karibu. Wanabwabwaja tu!
 
Nilichogundua kwenye uzi huu wako wachangiaji wengi ambao hawajawahi kujenga wala kuhusika na ujenzi kwa karibu. Wanabwabwaja tu!
Wskati unaendelea na uchunguzi ukumbuke pia ujenzi wa nyumba za kuishi hizi za kwetu ujenzi wake ni tofauti sana na seeikali
 
Huwezi mkuu, nyumba za serikali hazijengwi na vifaa vya ujenzi vya hovyo hovyo.
Tofali grade one tena za kulaza mara nyingi, ratio ya cement ya hali ya juu na bati gauge 26.
Huwa mnakurupuka mnalinganisha na vibanda vyetu vya mtaani.
Pili huwa kuna bei elekezi ya ujenzi mfano mdogo...
...majengo ya hospitali cost/sqm huwa ni 850,000
...magodauni cost/aqm ni 500,000
Na hapa kuna washauri/consultants lukuki
Mfano.. Quantity surveyors
...architects
....structural Eng
Na kadhalika na hawa wote wanalipwa ghali, hapa bado hujajua finishing ya ndani na SAMANI zake.
Msiwe mnakurupuka bila kuwa na ufahamu sahihi

Huwezi kuzunguka nyumba eti ukapata gharama za ujenzi.
Pitia manunuzi na pitia kitabu cha consultants uone mapendekezo yao katika ujenzi pamoja na samani zilizopo ndani
Hakusema kama ni effective 40 bali ipo around that 40 to 60m, subject to ifanyike mahesabu vizuri . Kama unaweza sawa kama huwezi watatumwa wanaoweza
 
Suppose ina urefu wa mita 17 na upana wa mita 7 kwa wastani ni jumla ya square m 119
(Hayo ni makadirio tu). Kwa gharama ya shilingi 950,000 kwa square m inakuwa 950,000x119=113,050,000. Hiyo tofauti inaweza kuwa gharama za mambo mengine kama gharama za ushauri n.k. Quantity surveyors wanaweza kutusaidia zaidi.
Kawaida ya square meter estimate kwa nyumba isio ya Ghorofa ni 350k - 450k per sqm.
 
Hebu lete huo mchanganuo wa tilez za millioni 7 nyumba Kama hii.

Aisee Kuna watu mnachekesha Sana[emoji1]
Maongezi hayawagi hivyo mkuu.

Tiririka uwezavyo tuthamanishe, hsujawekewa gavana!

Kuishia kusema 'unachekesha' haileti sensi mkubwa!
 


Karibuni waumini wa majadiliano katika mjadala huu ambao mh Rais amesema angeweza kujenga nyumba hii kwa mill 43.

Kwa mtazamo wangu, licha ya kutoiona nyumba hii kwa ndani huwezi jenga chini ya million 90 na kama gharama za vifaa, mchanga na cement eneo husika zipo juu kufika mill 100 sioni ajabu kwa upande wangu.

Karibuni mafundi kwa majadiliano.

View attachment 1514090


It depends based on :-
1) In case the floor plan is 286 - 302 SQM using building material with reasonable costs i.e not
using high end finishing materials.
2) Construction was based on Force Account or otherwise.
 
Ila design mbovu nyumba inaning'inia utadhani kaptula alijisemea Jafo kwenye daraja fulani. Sasa wazee mbona nyumba nyingi ndogo zabkuishi zina around mil. 70 iweje hiyo iwe hapo hapo
 
Maongezi hayawagi hivyo mkuu.

Tiririka uwezavyo tuthamanishe, hsujawekewa gavana!

Kuishia kusema 'unachekesha' haileti sensi mkubwa!
Samahan Kama umenielewa vibaya mkuu,

Mimi mchanganuo wangu tayar nishautoa mkuu.

Nlitaka uyo alosema tiles za mil 7 atupe yeye hiyo hesabu kaitoa wapi.
 
Ungeuliza maswali vizuri basi nibgekueleza kila kitu, hizi nyumba zipo karibu kila wilaya.
Na nakusahihisha kuwa kwenye nyumba ya huku , hakuna sehemu palipolzwa tofauli.
Msingi ulikuwa wa mawe(trip 18) tripu moja ni elfu themanini(80,000) bei halisi ni 70000.
Baada ya hapo ukapigwa mkeka, alafu zikanyanyuliwa kozi 11 kabla ya lintel. Baada ya hapo zikapanda kozi 3. Jumla kozi 14
Tofali zilikuwa jumla 3200, bei ya tofali 1 ni 1000 ila hadi site kupakia na kushusha ni 1200, tofali ni hizi za ratio ya 40 kwa mfuko mmoja. Hazikufyatuliwa, bali zilinunuliwa
Acha uongo hiyo nyumba hiyo tofari 3200 Ni msingi TU Tena ukome kudanganya
 
Huwezi mkuu, nyumba za serikali hazijengwi na vifaa vya ujenzi vya hovyo hovyo.
Tofali grade one tena za kulaza mara nyingi, ratio ya cement ya hali ya juu na bati gauge 26.
Huwa mnakurupuka mnalinganisha na vibanda vyetu vya mtaani.
Pili huwa kuna bei elekezi ya ujenzi mfano mdogo...
...majengo ya hospitali cost/sqm huwa ni 850,000
...magodauni cost/aqm ni 500,000
Na hapa kuna washauri/consultants lukuki
Mfano.. Quantity surveyors
...architects
....structural Eng
Na kadhalika na hawa wote wanalipwa ghali, hapa bado hujajua finishing ya ndani na SAMANI zake.
Msiwe mnakurupuka bila kuwa na ufahamu sahihi

Huwezi kuzunguka nyumba eti ukapata gharama za ujenzi.
Pitia manunuzi na pitia kitabu cha consultants uone mapendekezo yao katika ujenzi pamoja na samani zilizopo ndani
Na bado mwisho wa siku majengo yanakaa miaka miwili tu cracks kibao.
 
Tiles za mil 17 ziwekwe kwenye gheto la kawaida?? Hebu chukulia tu mfano wa makadiriaji ya juu sana yaani tuseme box moja ni 80000, hapo unapata maboksi 212. Maboksi 212 unaweka kwenye gheto la kawaida??? Huu utani sasa
Master mm nyumba nyingi tunazojenga sisi watanzania naita ghetto tu. Mm mwenyewe kwangu naita ghetto japo watu wakipita wanashangaa ila naona ni ghetto flani changamfu.
 
Ila design mbovu nyumba inaning'inia utadhani kaptula alijisemea Jafo kwenye daraja fulani. Sasa wazee mbona nyumba nyingi ndogo zabkuishi zina around mil. 70 iweje hiyo iwe hapo hapo
Kaka nadhani hii ndo sababu mpaka imepelekea kuonekana cheap, kwa gharama Ni sawa kabisa Ila muonekano wake cheap
 
Back
Top Bottom