Ujenzi: Je, hii nyumba ya TAKUKURU Dodoma inafikia thamani tajwa ya Tsh. 143 milioni?

Ujenzi: Je, hii nyumba ya TAKUKURU Dodoma inafikia thamani tajwa ya Tsh. 143 milioni?

magufuli ni zaidi ya mwanasiasa mkuu,

amekaa wizara ya ujenzi miaka kadhaa,anajua upuuzi mwingi usioujua.
Kwa taarifa yako ujuaji wake ndio unaharibu kazi.
TBA alipokuwa wasimamizi na sio wajenzi kazi ilienda vizuri, walipokabidhiwa kujwnga wamefanya madudu mwngi sana.
Niko kwenye hiyo field najua uchafu mwingi kuliko unavyofikiri.
Kimsingi taratibu za ujenzi zikifuatwa na ubora ukazingatiwa, hiyo nyumba haiwezi kuwa chini ya 120ml.
Angalia msururu wa wasimamizi hapo chini ndio waliohusika na ndivyo inavyotakiwa na hawa hulipwa pesa ndefu sana
JamiiForums108880075.jpg
 
Kwa taarifa yako ujuaji wake ndio unaharibu kazi.
TBA alipokuwa wasimamizi na sio wajenzi kazi ilienda vizuri, walipokabidhiwa kujwnga wamefanya madudu mwngi sana.
Niko kwenye hiyo field najua uchafu mwingi kuliko unavyofikiri.
Kimsingi taratibu za ujenzi zikifuatwa na ubora ukazingatiwa, hiyo nyumba haiwezi kuwa chini ya 120ml.
Angalia msururu wa wasimamizi hapo chini ndio waliohusika na ndivyo inavyotakiwa na hawa hulipwa pesa ndefu sanaView attachment 1515016
kwahiyo unakubaliana na wajenzi wa jf kwamba hiyo 143 ni pamoja na mambo mengine,ikiwemo kuwalipa hao wajuba.si ujenzi wa hiyo nyumba pekee.
 
45 ml ni mabanda yetu, yaliyopakwa rangi na kung'aaa ilhal tofali hazina ubora tena za kuaimamisha, bati gauge 30 na cement ratio hafifu.
Msibeze kazi za kitaalamu tena kwa majengo ya seeikali.

Jamuhuri inasema imepigwa... out come hai askisi thamani ya fedha...

Na hatua zishaanza kuchukuliwa, dhidi ya ubadhilifu...


Cc: mahondaw
 


Karibuni waumini wa majadiliano katika mjadala huu ambao mh Rais amesema angeweza kujenga nyumba hii kwa mill 43.

Kwa mtazamo wangu, licha ya kutoiona nyumba hii kwa ndani huwezi jenga chini ya million 90 na kama gharama za vifaa, mchanga na cement eneo husika zipo juu kufika mill 100 sioni ajabu kwa upande wangu.

Karibuni mafundi kwa majadiliano.

View attachment 1514090
Leta Ground Floor Plan hapa yenye full dimensions ili tuweke wazi The actual Schedule of materials and General construction estimate cost kwa bei za sehem husika. Pia ukiwa unafanya calculation cost lazima ujue standard specs za materials ili uweze ku deliver Quality project on time and within budget
 
kwahiyo unakubaliana na wajenzi wa jf kwamba hiyo 143 ni pamoja na mambo mengine,ikiwemo kuwalipa hao wajuba.si ujenzi wa hiyo nyumba pekee.
Sijakubaliana wala kupinga, ili nikubaliane au nipinge ningepata ramani ya nyumba hiyo na mapendekezo ya mshauri kuwa matirio gani yatatumika na maelekezo mengine.
Ujenzi hauangaliwi kwa macho ili kujua gharama
 
Sijakubaliana wala kupinga, ili nikubaliane au nipinge ningepata ramani ya nyumba hiyo na mapendekezo ya mshauri kuwa matirio gani yatatumika na maelekezo mengine.
Ujenzi hauangaliwi kwa macho ili kujua gharama
na gharama hazipimwi kwa maandishi pekee,bali + uhalisia ulioko site.
 
Sasa kama msingi na jamvi tufanye mil 10,kwenda na tofali mpaka lenta mil 10,lenta na tofali za juu mil5,roofing mil 10,gypsum na rangi mil 10,tiles na umeme mil 10,mfumo wa majitaka mil10,finishing nje mil 10.unapata mil 75,hapo nimekadilia tu kwa kiwango cha pesa ambacho ni juu sana,sasa hizo mil 143 kwa nyumba ya kawaida sana kama hiyo unanunua material gani ya ajabu?,wizi tu hapo.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Usafiri na posho za maafisa na mainjinia wa Takukuru mbona umesahau
 
Ila kwa maoni yangu mie mradi huo wa ujenzi wa milioni 147 unaweza ukawa sawa kutokana na vifaa vinavyofanyika katika maujenzi ya serikali,Yeye mheshimiwa anavyosema iyo nyumba yeye angetumia milioni 40 mie nakataa,kama alijenga nyumba kama iyo kwa hela iyo basi hao wauzaji waliomuuzia vifaa walimuuzia kwa kujipendekeza na uoga juu
 


Karibuni waumini wa majadiliano katika mjadala huu ambao mh Rais amesema angeweza kujenga nyumba hii kwa mill 43.

Kwa mtazamo wangu, licha ya kutoiona nyumba hii kwa ndani huwezi jenga chini ya million 90 na kama gharama za vifaa, mchanga na cement eneo husika zipo juu kufika mill 100 sioni ajabu kwa upande wangu.

Karibuni mafundi kwa majadiliano.

View attachment 1514090
Baadhi yao leo wamesimamishwa kazi.kupisha uchunguzi,mambo moto kabisa
 
Ungeuliza maswali vizuri basi nibgekueleza kila kitu, hizi nyumba zipo karibu kila wilaya.
Na nakusahihisha kuwa kwenye nyumba ya huku , hakuna sehemu palipolzwa tofauli.
Msingi ulikuwa wa mawe(trip 18) tripu moja ni elfu themanini(80,000) bei halisi ni 70000.
Baada ya hapo ukapigwa mkeka, alafu zikanyanyuliwa kozi 11 kabla ya lintel. Baada ya hapo zikapanda kozi 3. Jumla kozi 14
Tofali zilikuwa jumla 3200, bei ya tofali 1 ni 1000 ila hadi site kupakia na kushusha ni 1200, tofali ni hizi za ratio ya 40 kwa mfuko mmoja. Hazikufyatuliwa, bali zilinunuliwa
Utakua fundi tu wewe.
Kwanza niambie tofali za kulaza mfuko mmoja wa cement unajenga tofali ngapi?
 
Usibishe. Natamani kuelezea undani wa gharama halisi
Ila kwa maoni yangu mie mradi huo wa ujenzi wa milioni 147 unaweza ukawa sawa kutokana na vifaa vinavyofanyika katika maujenzi ya serikali,Yeye mheshimiwa anavyosema iyo nyumba yeye angetumia milioni 40 mie nakataa,kama alijenga nyumba kama iyo kwa hela iyo basi hao wauzaji waliomuuzia vifaa walimuuzia kwa kujipendekeza na uoga juu
 
Ungeuliza maswali vizuri basi nibgekueleza kila kitu, hizi nyumba zipo karibu kila wilaya.
Na nakusahihisha kuwa kwenye nyumba ya huku , hakuna sehemu palipolzwa tofauli.
Msingi ulikuwa wa mawe(trip 18) tripu moja ni elfu themanini(80,000) bei halisi ni 70000.
Baada ya hapo ukapigwa mkeka, alafu zikanyanyuliwa kozi 11 kabla ya lintel. Baada ya hapo zikapanda kozi 3. Jumla kozi 14
Tofali zilikuwa jumla 3200, bei ya tofali 1 ni 1000 ila hadi site kupakia na kushusha ni 1200, tofali ni hizi za ratio ya 40 kwa mfuko mmoja. Hazikufyatuliwa, bali zilinunuliwa
Mkuu asante kwa majibu.
Nikujulishe tu ukiona nyumba inajengwa kwa msingi wa mawe iko chini ya kiwango.
Pili tofali 40 kwa mfuko nako ni chini ya kiwango.
Serikali majengo yake yanapaswa kujengwa nyumba zake kwa tofali grade one tena za kulaza ambazo bei yake sio chini ya 2,000 kwa tofali.
Ndio maana nasema hapa hakuna aliyesahihi sababu hatujui hawa wataalamu wa ujenzi wa takukuru walipendekezaje vifaa vya ujenzi.
 
Sema kwa wezi,sio maafisa[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Haijawahi tokea katika construction eti Element bills zikawa same cost and percentage of contract sum. Iko hivi mf: SUBSTRUCTURES (Foundation)= 30% SUPERSTRUCTURES (Walling) = 12% ROOFING WORKS= 8% DOORS= 8% WINDOWS= 10% FINISHES = 18% PLUMBING & DRAINAGE SYSTEM WORKS = 8% PAINTING AND DECORATIONS = 3% ELECTRICAL WORKS= 3%. Mambo ni mengi ktk ujenzi sio suala la kukurupuka tu. Ngoja wafanye upya hio Evaluation utanambia hizo findings.
 
Haijawahi tokea katika construction eti Element bills zikawa same cost and percentage of contract sum. Iko hivi mf: SUBSTRUCTURES (Foundation)= 30% SUPERSTRUCTURES (Walling) = 12% ROOFING WORKS= 8% DOORS= 8% WINDOWS= 10% FINISHES = 18% PLUMBING & DRAINAGE SYSTEM WORKS = 8% PAINTING AND DECORATIONS = 3% ELECTRICAL WORKS= 3%. Mambo ni mengi ktk ujenzi sio suala la kukurupuka tu. Ngoja wafanye upya hio Evaluation utanambia hizo findings.
Ok[emoji119][emoji119]

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Suppose ina urefu wa mita 17 na upana wa mita 7 kwa wastani ni jumla ya square m 119
(Hayo ni makadirio tu). Kwa gharama ya shilingi 950,000 kwa square m inakuwa 950,000x119=113,050,000. Hiyo tofauti inaweza kuwa gharama za mambo mengine kama gharama za ushauri n.k. Quantity surveyors wanaweza kutusaidia zaidi.
 
Suppose ina urefu wa mita 17 na upana wa mita 7 kwa wastani ni jumla ya square m 119
(Hayo ni makadirio tu). Kwa gharama ya shilingi 950,000 kwa square m inakuwa 950,000x119=113,050,000. Hiyo tofauti inaweza kuwa gharama za mambo mengine kama gharama za ushauri n.k. Quantity surveyors wanaweza kutusaidia zaidi.
Uko sahihi mkuu, ni taaluma yangu
 
Katika hali ya kawaida ni vigumu kusema ndio au hapana.
Thamani ya hiyo nyumba unaweza kuipata kwa kuzingatia haya....

-Tathmini ya makisio ya ujenzi kitaalamu kabla ya kujengwa. (Tuwaulize TAKUKURU, wao walitenga bajeti ya kiasi gani ili kujenga nyumba ya namna gani?).

-Ulinganisho wa gharama wa nyumba kama hiyo iliyojengwa sehemu zingine.

-Muundo, muonekano na upekee wake. (Tuonyeshwe ndani, tufahamu material zilizotumika nk).
 
Back
Top Bottom