Ujenzi wa barabara Ujerumani vs Tanzania

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Ukisikia barabara inajengwa ndio hivi sio zile zenu za moram na kushindiliwa tu, hii barabara hata ikae miaka 200 bado utaikuta hivyo hivyo sio hizi za hapa Tanzania miezi tu hakuna kitu.

USSR
 

Attachments

  • FB_IMG_1723881312124.jpg
    110.2 KB · Views: 5
  • FB_IMG_1723881735973.jpg
    54.9 KB · Views: 4
  • FB_IMG_1723881702268.jpg
    60.1 KB · Views: 4
Ujinga mzigo sana,
Barabara zinazojengwa hivo hata bongo zipo,

Ila unajenga kwenye ardh gani ? Na gharama ya kujenga hio barabara utaambiwa 7B kwa km, mnazo hizo hela .?
 
Ukisikia barabara inajengwa ndio hivi sio zile zenu za moram na kushindiliwa tu, hii barabara hata ikae miaka 200 bado utaikuta hivyo hivyo sio hizi za hapa Tanzania miezi tu hakuna kitu.

USSR
Sasa unataka viraka tukazibe wapi! Watoto wetu utawalisha wewe.
 
Ujinga mzigo sana,
Barabara zinazojengwa hivo hata bongo zipo,

Ila unajenga kwenye ardh gani ? Na gharama ya kujenga hio barabara utaambiwa 7B kwa km, mnazo hizo hela .?
Mjadala umefungwa
 
Tusinyimane usingizi kwa hizi unfair comparison
 
Tusinyimane usingizi kwa hizi unfair compari
 
Mbeya Road, Kahama Road ilitakiwa kuwa hivyo.
 
Ukijifananisha na Ulaya Kila kitu huku Bongo utaona ni Cha kichoko. Huko Kila kitu kupo katika namna ya viwango vya juu sana. Narudia sana.
Nb.
Siku nyingine usifananishe Ulaya na sisi. Tupo vyema Kwa viwango vyetu.
 
Siku nyingine usifananishe Ulaya na sisi. Tupo vyema Kwa viwango vyetu.
Kama kuna tunachofanya kwa akili zetu bila kuiga ni yale matendo yasiyo ya hiyari ya mwili....

Ukisema usifananishe na Ulaya unamaanisha nini?
 
Kwa taarifa yako hao wazungu wakiwa na safari ya kuja Africa hawategemei kukuta kitu kizuri. Wanashangaa maghotofa mrefu tuliyo nayo, Wanashangaa ma V8 mnayo endesha nk nk.
 
Bongo hizo barabara zipo nyingi tu, huenda hausafiri tuseme hata kitonga hujawahi kupita ukienda iringa au mbeya? Barabara hizo hujengwa kulingana na sababu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…