Ujenzi wa Daraja la Magufuli wahujumiwa, CCM wacharuka

Ujenzi wa Daraja la Magufuli wahujumiwa, CCM wacharuka

Kinuju

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2021
Posts
2,386
Reaction score
5,325
Gazeti la Nipashe la leo limeripoti kuwa ujenzi wa daraja refu zaidi Afrika Mashariki la Magufuli linalojengwa kukatiza ziwa Victoria kuunganisha kati ya Kigongo na Busisi unahujumiwa.

Kutokana na hujuma hizo Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetaka uchunguzi wa haraka ufanyike na watakaobainika wafikishwe mahakamani kujibu tuhuma zao.

Ikumbukwe daraja hilo linajengwa kwa jumla ya billion 700 za walipa kodi wa Tanzania.

20211025_102711.jpg
 
Hili ndo lile daraja shetani jiwe aliimiza lijengwe haraka haraka.

Sababu lisipoisha kipindi yeye yupo madaarkani rais atakayemfatia anaweza akasitisha ujenzi wake.

Jiwe alikuwa mbaguzi sana sijui kwanini mataga wanamuona kama shujaa.
 
Hili ndo lile daraja shetani jiwe aliimiza lijengwe haraka haraka.

Sababu lisipoisha kipindi yeye yupo madaarkani rais atakayemfatia anaweza akasitisha ujenzi wake.

Jiwe alikuwa mbaguzi sana sijui kwanini mataga wanamuona kama shujaa.
Kwani sasa hivi halijengwi?
 
Hivi we jamaa nazani hauko timamu kabisa sijawahi comment hoja yako ata siku moja huwa nakupuuza maana naona akili zako hazipo sawa Sasa chadema wanamhujumu VIP mama
Chadema hawana akili utafikiri hilo daraja linajengwa nchi jirani.
 
Back
Top Bottom