Ujenzi wa Daraja la Magufuli wahujumiwa, CCM wacharuka

Ujenzi wa Daraja la Magufuli wahujumiwa, CCM wacharuka

Hili ndo lile daraja shetani jiwe aliimiza lijengwe haraka haraka.

Sababu lisipoisha kipindi yeye yupo madaarkani rais atakayemfatia anaweza akasitisha ujenzi wake.

Jiwe alikuwa mbaguzi sana sijui kwanini mataga wanamuona kama shujaa.
Wewe ndo shetani!
 
halafu ukifanya kitu utaitwa mnyama au katili kwa Pumbavu kama hizi zikibainika...wajameni dawa ya Mpumbavu ni kumfanyia unyama au zaidi ya unyama iki mpumbavu mwingine akae sawa..

Huu mradi haujalishi ni hasara ua faida, tayari hela imeshawekwa pale na kazi imeshaanzishwa na mikataba ishasainiwa hamna namna lazima uishe maisha yaende mbele...sass likitokea Pumbavu hakuna namna zaidi ya unyama na ukatili tu...

Sio huu tu hata huko nyuma ipo mipumbavu ilisaini mikataba ya hovyo kwa manufaa ya familia zao, michepuko, wapambe nk ikawa mitajiri kupindukia yenyewe na familia zao na bado ikatukana watanzania kwa kuwaita wavivu huku yenyewe ikifilisi mali za umma na kuwaambia vijana wetu eti wajiajiri huku wao na mpaka mashemeji wakiajiriwa kwa vimemo...PUMBAVU kama hizi ni unyama tu na ukatiri ili vizazi vijifunze ukitia hasara wanaoathirika ni mamilioni ya watanzania...

Jitu uani limejaza MaV8 nane ajira wapi? mtumishi wa umma chanzo cha mapato ni rushwa tu kuwasnitch watanzania wenzie, wengine madalali wa mabeberu na kuwauza ndugu zao kijingakijinga matokeo yake mambo hayaendi....unataka nini kwa watu kama hawa kama si ukatili tu...
 
Mtanzania na Mwafrica bado yuko kwenye level ya mijeredi sio the so called sijui demokrasia mara utawala wa sheri HAPANA, mijeredi tu zaidi ya punda ili wenyewe waijenge Africa au Tanzania....bila ya hapo ni kupoteza muda...

Mtanzania sio wakumwambia "nye nye nye" awe amesoma au hajasoma wote baba moja mama moja wanafanana tu na siasa nyiiiingi..

Tukiendekeza upumbavu jamii haitojifunza na kila siku watazaliwa wapumbavu matokeo yake watakuwa wengi na kudhidi kila kitu....
 
halafu ukifanya kitu utaitwa mnyama au katili kwa Pumbavu kama hizi zikibainika...wajameni dawa ya Mpumbavu ni kumfanyia unyama au zaidi ya unyama iki mpumbavu mwingine akae sawa..

Huu mradi haujalishi ni hasara ua faida, tayari hela imeshawekwa pale na kazi imeshaanzishwa na mikataba ishasainiwa hamna namna lazima uishe maisha yaende mbele...sass likitokea Pumbavu hakuna namna zaidi ya unyama na ukatili tu...

Sio huu tu hata huko nyuma ipo mipumbavu ilisaini mikataba ya hovyo kwa manufaa ya familia zao, michepuko, wapambe nk ikawa mitajiri kupindukia yenyewe na familia zao na bado ikatukana watanzania kwa kuwaita wavivu huku yenyewe ikifilisi mali za umma na kuwaambia vijana wetu eti wajiajiri huku wao na mpaka mashemeji wakiajiriwa kwa vimemo...PUMBAVU kama hizi ni unyama tu na ukatiri ili vizazi vijifunze ukitia hasara wanaoathirika ni mamilioni ya watanzania...

Jitu uani limejaza MaV8 nane ajira wapi? mtumishi wa umma chanzo cha mapato ni rushwa tu kuwasnitch watanzania wenzie, wengine madalali wa mabeberu na kuwauza ndugu zao kijingakijinga matokeo yake mambo hayaendi....unataka nini kwa watu kama hawa kama si ukatili tu...
Umeongea kwa uchungu sana
 
Wewe ndo shetani!
Watu wanaona wivu wa nini ni kama vile hilo daraja linajengwa Rwanda, badala watanzania tufurahie huo mradi mkubwa lakini watua ndio wanaleta chuki za wazi hutazani likiisha hawataruhusiwa kulitumia watanzania wanatakiwa wajifunze uzalendo, mbona madaraja ya kuvuka bahari yanayounganisha tarafa moja ya Dar na tarafa nyingine mbona tulikuwa kimya, kujengwa kwa hilo daraja imekuwa nongwa.
 
Mwenyekiti wa chama ndo anaihujumu nchi yetu
 
linalojengwa kukatiza ziwa Victoria kuunganisha kati ya Kigongo na Busisi unahujumiwa.
Unaposema kuwa daraja linakatiza ziwa victoria maana yake limeligawa ziwa victoria vipande viwile. Je, ni kweli hilo daraja limegawanya ziwa mara mbili?
 
Unaposema kuwa daraja linakatiza ziwa victoria maana yake limeligawa ziwa victoria vipande viwile. Je, ni kweli hilo daraja limegawanya ziwa mara mbili?
Hayo Mataahira ya Lumumba yanajielewa basi
 
Unaposema kuwa daraja linakatiza ziwa victoria maana yake limeligawa ziwa victoria vipande viwile. Je, ni kweli hilo daraja limegawanya ziwa mara mbili?
Huna akili kabisa
 
Hili ndo lile daraja shetani jiwe aliimiza lijengwe haraka haraka.

Sababu lisipoisha kipindi yeye yupo madaarkani rais atakayemfatia anaweza akasitisha ujenzi wake.

Jiwe alikuwa mbaguzi sana sijui kwanini mataga wanamuona kama shujaa.
Aisee mkuu, we ni mwehu kwel cjawah ona, pumbav kabsa!!!
 
halafu ukifanya kitu utaitwa mnyama au katili kwa Pumbavu kama hizi zikibainika...wajameni dawa ya Mpumbavu ni kumfanyia unyama au zaidi ya unyama iki mpumbavu mwingine akae sawa..

Huu mradi haujalishi ni hasara ua faida, tayari hela imeshawekwa pale na kazi imeshaanzishwa na mikataba ishasainiwa hamna namna lazima uishe maisha yaende mbele...sass likitokea Pumbavu hakuna namna zaidi ya unyama na ukatili tu...

Sio huu tu hata huko nyuma ipo mipumbavu ilisaini mikataba ya hovyo kwa manufaa ya familia zao, michepuko, wapambe nk ikawa mitajiri kupindukia yenyewe na familia zao na bado ikatukana watanzania kwa kuwaita wavivu huku yenyewe ikifilisi mali za umma na kuwaambia vijana wetu eti wajiajiri huku wao na mpaka mashemeji wakiajiriwa kwa vimemo...PUMBAVU kama hizi ni unyama tu na ukatiri ili vizazi vijifunze ukitia hasara wanaoathirika ni mamilioni ya watanzania...

Jitu uani limejaza MaV8 nane ajira wapi? mtumishi wa umma chanzo cha mapato ni rushwa tu kuwasnitch watanzania wenzie, wengine madalali wa mabeberu na kuwauza ndugu zao kijingakijinga matokeo yake mambo hayaendi....unataka nini kwa watu kama hawa kama si ukatili tu...
Tuanze na pumbavu mwendakuzimu.
Tumshughulikie "kweri kweri".
 
Back
Top Bottom