Kwani sasa hivi halijengwi?Hili ndo lile daraja shetani jiwe aliimiza lijengwe haraka haraka.
Sababu lisipoisha kipindi yeye yupo madaarkani rais atakayemfatia anaweza akasitisha ujenzi wake.
Jiwe alikuwa mbaguzi sana sijui kwanini mataga wanamuona kama shujaa.
Hivi we jamaa nazani hauko timamu kabisa sijawahi comment hoja yako ata siku moja huwa nakupuuza maana naona akili zako hazipo sawa Sasa chadema wanamhujumu VIP mamaChadema wanamsaliti mama
Chadema hawana akili utafikiri hilo daraja linajengwa nchi jirani.Hivi we jamaa nazani hauko timamu kabisa sijawahi comment hoja yako ata siku moja huwa nakupuuza maana naona akili zako hazipo sawa Sasa chadema wanamhujumu VIP mama
Kwa hiyo CHADEMA ndiyo wamehujumu? Kwamba Serikali haitoi tena pesa za mradi au CHADEMA imefukuza mainjinia?Chadema wanamsaliti mama
Kwenye Jicho la Siasa , hilo ndilo jibu.Daraja ni mambo ya Magufuli?
Leo ndo nimepata uhakika 100% kua wew ni chekechea qualifier 🚮🚮Chadema wanamsaliti mama