Alimbagua mamako baada ya kuoa mke mwingine?Hili ndo lile daraja shetani jiwe aliimiza lijengwe haraka haraka.
Sababu lisipoisha kipindi yeye yupo madaarkani rais atakayemfatia anaweza akasitisha ujenzi wake.
Jiwe alikuwa mbaguzi sana sijui kwanini mataga wanamuona kama shujaa.
Alimbagua mbelwa kairuki.Alimbagua mamako baada ya kuoa mke mwingine?
Ndio mamako huyo?Alimbagua mbelwa kairuki.
Vipi niendelee?
We mjane wa mwendakuzimu.Aisee mkuu, we ni mwehu kwel cjawah ona, pumbav kabsa!!!
Kuna mtu Ana ubavu wa kusitisha Hilo daraja?Hili ndo lile daraja shetani jiwe aliimiza lijengwe haraka haraka.
Sababu lisipoisha kipindi yeye yupo madaarkani rais atakayemfatia anaweza akasitisha ujenzi wake.
Jiwe alikuwa mbaguzi sana sijui kwanini mataga wanamuona kama shujaa.
Mwambie huyooKuna mtu Ana ubavu wa kusitisha Hilo daraja?
Au unajisemea tu ndugu yangu,wewe na unae mtaja mnatofautiana Nini maana hata wewe unatapika Moto wa chuki dhidi ya raia wa Kanda ya ziwa!
Huenda labda lingejengwa sambamba na lile la kigamboni ungechekelea.
Unaniuliza mimi tena.Kuna mtu Ana ubavu wa kusitisha Hilo daraja
Sina muda wa kuchukia washamba wafuga ng'ombe.Au unajisemea tu ndugu yangu,wewe na unae mtaja mnatofautiana Nini maana hata wewe unatapika Moto wa chuki dhidi ya raia wa Kanda ya ziwa!
Kwani la kigamboni halijajengwa?Huenda labda lingejengwa sambamba na lile la kigamboni ungechekelea.
Na Chaga gangsters wanamuonaje? khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeHili ndo lile daraja shetani jiwe aliimiza lijengwe haraka haraka.
Sababu lisipoisha kipindi yeye yupo madaarkani rais atakayemfatia anaweza akasitisha ujenzi wake.
Jiwe alikuwa mbaguzi sana sijui kwanini mataga wanamuona kama shujaa.
Mimba ya JPM itakutesa mpaka kufaUnaniuliza mimi tena.
Kamuulize yule mungu wenu anayekula marungu kuzimu kwa uovu wake.
Yeye ndiye aliyetamka maneno hayo.
Sina muda wa kuchukia washamba wafuga ng'ombe.
Kwani la kigamboni halijajengwa?
Mabeyo tunajua unatoka Kanda ya ziwa.simon SiroUnahujumiwa na nani tena, na wakati nchi iko katika mikono salama ya chifu Hangaya? Msaidizi mwaminifu kabisa wa Hayati!
ππππππππππChadema wanamsaliti mama
Unawasemea washamba na wafuga ng'ombe vibaya huku unakula vinavyotokana na kazi hizo. Huo ni upumbavuUnaniuliza mimi tena.
Kamuulize yule mungu wenu anayekula marungu kuzimu kwa uovu wake.
Yeye ndiye aliyetamka maneno hayo.
Sina muda wa kuchukia washamba wafuga ng'ombe.
Kwani la kigamboni halijajengwa?
Kwa HIYO CCM wanaolihujumu wana akili?Chadema hawana akili utafikiri hilo daraja linajengwa nchi jirani.
Mkuu nami nashangaa maana tuliambiwa "KAZI IENDELEE"Unahujumiwa na nani tena, na wakati nchi iko katika mikono salama ya chifu Hangaya? Msaidizi mwaminifu kabisa wa Hayati!
Samahani mkuu, ni wale walio chama cha kijani ama upinzani?Kazi imenza.
Kuna watu wanatamani mambo ya JPM yazikwe kama alivyozikwa yeye.
Hahaha mkuu nimecheka mpaka bhas tu. Nawashangaa wanaoitaja CHADEMA kuwa inahujumu huo mradi wakati wao na chama kinachoshika dola ndio kilichofanya planning and budgeting of that particular project na sasa wako katika hatua ya implementation alafu wanakuja na maneno kama haya.kwani ujenzi wa daraja hilo unasimamiwa na TLP ama CHAUSTA ? Yaani ujiibie mwenyewe afu unataka attention ya watu wote nchi nzima.
We ujihisi furaha, mamiradi makubwa kufululiza sasa imetulia, imalizike kwanza hii ndio muendelee na mingine! Kuwapa watu matumaini na kujimwambafai ni jambo baya sana, wakati kasi ni kubwa ya kushuka kiuchumi!Kazi imenza.
Kuna watu wanatamani mambo ya JPM yazikwe kama alivyozikwa yeye.
Kuna watu kila kitu wanataka kupiga. Inatia aibu na huruma sanaSometimes huwa nafikiri Tanzania haistahili watu viwango vya akina Magufuli.
Nchi ya kipuuzi sana hii.