Ujenzi wa ghorofa 1 hatua kwa hatua na makisio ya vifaa

Ujenzi wa ghorofa 1 hatua kwa hatua na makisio ya vifaa

Wadau nawasabahi. Nimebahatika nimepata kiwanja Eneo la Mkorea njia ya kwenda Kibada chenye ukubwa wa 20mx30m. Mipango yangu nikujikakamua nijenge Ghorofa 1 ya vyumba 3 jiko dinning vyoo na sebule.

Ombi kwenu ni makisio na hatua za kufuata za ujenzi pia kama itawezekana kujua idadi ya nondo kila nguzo size za nondo beam pia usukaji wa slab pale juu idadi ya nondo eneo la ghofofa itakuwa Sgm 80 kwa maana 8mx10m
Achana na ujenzi njoo nikuuzie nyumba yangu kibada ni ya kisasa na ukubwa eneo 800SQM
 
Kwa Ushauri wangu.Jenga Tu nyumba ya kawaida Upate Uzoefu kisha ndo ujenge ghorofa.Unaweza ukanunua kiwanja kingine au ukaibomoa hiyoa ya kawaida ukajenge ghorofa ukiwa kamili.
 
Ili kupata makisio ya bajeti,ni lazima
  • Uwe na Ramani ya usanifu ya hiyo ghorofa
  • Ramani na nyara za mhimili (Structural documents)

Maana maghorofa hutofautiana bei kulingana na
  • Ukubwa wa jengo
  • Aina ya ujenzi
  • Aina ya matilio
  • Eneo la ujenzi
Hizo nyara mbili nilizo zitaja, ndiyo hutoa majibu ya maswali yote...
Asante mkuu naomba namba yako kwa mawasiliano mkuu
 
Wadau nawasabahi. Nimebahatika nimepata kiwanja Eneo la Mkorea njia ya kwenda Kibada chenye ukubwa wa 20mx30m. Mipango yangu nikujikakamua nijenge Ghorofa 1 ya vyumba 3 jiko dinning vyoo na sebule.

Ombi kwenu ni makisio na hatua za kufuata za ujenzi pia kama itawezekana kujua idadi ya nondo kila nguzo size za nondo beam pia usukaji wa slab pale juu idadi ya nondo eneo la ghofofa itakuwa Sgm 80 kwa maana 8mx10m
Nondo huwa hazikadiliwi, zege huwa haikadiliwi, kila kitu ni hesabu. Tafuta Engineer akufanyie structural design uwe safe.
 
Kwa ujenzi wa ghorofa nakushauri ushirikishe wataalamu wazoefu ambao wanajua makadirio na vipimo vya vifaa vya ujenzi.

Ukijenga kwa ubahiri hasara utaikuta mbele kwasababu nafuu ni gharama iliyojificha.

Usipende kufanya vitu bila kujua matokeo yake katika uhalisia yatakuwaje.
 
Kwa ujenzi wa ghorofa nakushauri ushirikishe wataalamu wazoefu ambao wanajua makadirio na vipimo vya vifaa vya ujenzi.

Ukijenga kwa ubahiri hasara utaikuta mbele kwasababu nafuu ni gharama iliyojificha.

Usipende kufanya vitu bila kujua matokeo yake katika uhalisia yatakuwaje.
Ni kweli, ukijenga ghorofa bila kushirikisha Wataalam utaishia pabaya hasa ghorofa kupata creaks na hata kuanguka kabisa. Wataalam wa ujenzi hasa kwenye usanifu (design) na ujenzi (construction) ni muhimu sana. Ingawa utaingia gharama kubwa kidogo kuliko Fundi Maiko.
 
Mkuu ili kupata makadirio ya bei ni lazima uwe na ramani ya jengo husika
Sisi ni SOPESYA COMPANY LTD tunauzoefu wa muda mrefu katika kuchora ramani na ujenzi wa nyumba za aina zote
karibu tukucholee ramani kwa bei nafuu ramani inakuja pamoja na makadirio ya bei ukiwa mahali popote tanzania
0621774403

 
Mkuu ili kupata makadirio ya bei ni lazima uwe na ramani ya jengo husika
Sisi ni SOPESYA COMPANY LTD tunauzoefu wa muda mrefu katika kuchora ramani na ujenzi wa nyumba za aina zote
karibu tukucholee ramani kwa bei nafuu ramani inakuja pamoja na makadirio ya bei ukiwa mahali popote tanzania
0621774403
View attachment 2984503
View attachment 2984503
Hizo beams za nje kubwa hivyo mliweka za nini?
 
Nakushauri anza hivi
1. Michoro -zingatia na hakikisha imekamilika
2. Fatilia kibali cha ujenzi
3. Tafuta mtaalamu akupe makadilio halisi

USisahau kurasimisha eneo lako
Bila kusahau lazima alipie vibao,aandae kama mil 10 ya vibao vile vya engineers mana hapo lazima structure awe na stikq yake,plumbing, electrical, contractor mwenyewe, na hilo gorofq makisio boma bila finishing aandae kama mil 300.
 
Summary:
Kiwanja kiwe kimepimwa na Matumizi yake yawe bayana
Mtafute msanifu Majengo
Mtafute Structural Engineer
Mtafute QS
Omba vibali vya Ujenzi
Utahitaji Msimamizi Fundi mzoefu au Civil Technician
Endelea na kazi.
NB:Jirani yangu amejenga ghorofa na karibu anahamia amepita chocho,nilijitahidi kumshauri azingatie lisije angukia Fensi tunayoshare.
 
Bila kusahau lazima alipie vibao,aandae kama mil 10 ya vibao vile vya engineers mana hapo lazima structure awe na stikq yake,plumbing, electrical, contractor mwenyewe, na hilo gorofq makisio boma bila finishing aandae kama mil 300.
Hapo ndio nilipochoka mie, eti vibao wakasema niwape 10m wamalize kila kitu
 
Ni sahihi adhabu ni faini ambayo yaweza kuwa kubwa. Na utatakiwa kusimamisha ujenzi. Kitanzania watakula pesa zako na bado tatizo litabaki pale pale.
 

Attachments

  • House New.jpg
    House New.jpg
    2.3 MB · Views: 45
Kuna watu wenye kazi zao, kwanza wanaanza kuchimba shimo futi kadhaa kuchukuwa mchanga sample unakwenda kupimwa.

Ghorofa halijengwi tu kama kichanja.
Ghorofa moja ukapime udongo ili? Hizi zote mbwembwe za corse work tu. Cha msingi apate ramani ampe injinia amfanyie hesabu. Udongo wa maeneo ya Pwani karibia wote ni sawa tu
 
Back
Top Bottom