mik van vex
Senior Member
- Jan 13, 2018
- 101
- 170
Achana na ujenzi njoo nikuuzie nyumba yangu kibada ni ya kisasa na ukubwa eneo 800SQMWadau nawasabahi. Nimebahatika nimepata kiwanja Eneo la Mkorea njia ya kwenda Kibada chenye ukubwa wa 20mx30m. Mipango yangu nikujikakamua nijenge Ghorofa 1 ya vyumba 3 jiko dinning vyoo na sebule.
Ombi kwenu ni makisio na hatua za kufuata za ujenzi pia kama itawezekana kujua idadi ya nondo kila nguzo size za nondo beam pia usukaji wa slab pale juu idadi ya nondo eneo la ghofofa itakuwa Sgm 80 kwa maana 8mx10m
Asante mkuu naomba namba yako kwa mawasiliano mkuuIli kupata makisio ya bajeti,ni lazima
- Uwe na Ramani ya usanifu ya hiyo ghorofa
- Ramani na nyara za mhimili (Structural documents)
Maana maghorofa hutofautiana bei kulingana na
Hizo nyara mbili nilizo zitaja, ndiyo hutoa majibu ya maswali yote...
- Ukubwa wa jengo
- Aina ya ujenzi
- Aina ya matilio
- Eneo la ujenzi
Asante kwa ushauriKama uko "serious" tafuta msanifu majengo akuchoree kisha mhandisi afanye hisabu za chuma
[emoji120][emoji120]Nakushauri anza hivi
1. Michoro -zingatia na hakikisha imekamilika
2. Fatilia kibali cha ujenzi
3. Tafuta mtaalamu akupe makadilio halisi
USisahau kurasimisha eneo lako
Nondo huwa hazikadiliwi, zege huwa haikadiliwi, kila kitu ni hesabu. Tafuta Engineer akufanyie structural design uwe safe.Wadau nawasabahi. Nimebahatika nimepata kiwanja Eneo la Mkorea njia ya kwenda Kibada chenye ukubwa wa 20mx30m. Mipango yangu nikujikakamua nijenge Ghorofa 1 ya vyumba 3 jiko dinning vyoo na sebule.
Ombi kwenu ni makisio na hatua za kufuata za ujenzi pia kama itawezekana kujua idadi ya nondo kila nguzo size za nondo beam pia usukaji wa slab pale juu idadi ya nondo eneo la ghofofa itakuwa Sgm 80 kwa maana 8mx10m
Ni kweli, ukijenga ghorofa bila kushirikisha Wataalam utaishia pabaya hasa ghorofa kupata creaks na hata kuanguka kabisa. Wataalam wa ujenzi hasa kwenye usanifu (design) na ujenzi (construction) ni muhimu sana. Ingawa utaingia gharama kubwa kidogo kuliko Fundi Maiko.Kwa ujenzi wa ghorofa nakushauri ushirikishe wataalamu wazoefu ambao wanajua makadirio na vipimo vya vifaa vya ujenzi.
Ukijenga kwa ubahiri hasara utaikuta mbele kwasababu nafuu ni gharama iliyojificha.
Usipende kufanya vitu bila kujua matokeo yake katika uhalisia yatakuwaje.
Hizo beams za nje kubwa hivyo mliweka za nini?Mkuu ili kupata makadirio ya bei ni lazima uwe na ramani ya jengo husika
Sisi ni SOPESYA COMPANY LTD tunauzoefu wa muda mrefu katika kuchora ramani na ujenzi wa nyumba za aina zote
karibu tukucholee ramani kwa bei nafuu ramani inakuja pamoja na makadirio ya bei ukiwa mahali popote tanzania
0621774403
View attachment 2984503
View attachment 2984503
Bila kusahau lazima alipie vibao,aandae kama mil 10 ya vibao vile vya engineers mana hapo lazima structure awe na stikq yake,plumbing, electrical, contractor mwenyewe, na hilo gorofq makisio boma bila finishing aandae kama mil 300.Nakushauri anza hivi
1. Michoro -zingatia na hakikisha imekamilika
2. Fatilia kibali cha ujenzi
3. Tafuta mtaalamu akupe makadilio halisi
USisahau kurasimisha eneo lako
Hapo ndio nilipochoka mie, eti vibao wakasema niwape 10m wamalize kila kituBila kusahau lazima alipie vibao,aandae kama mil 10 ya vibao vile vya engineers mana hapo lazima structure awe na stikq yake,plumbing, electrical, contractor mwenyewe, na hilo gorofq makisio boma bila finishing aandae kama mil 300.
Kuna maghorofa kibao tu yanajengwa bila hayo mavibao y 10MHapo ndio nilipochoka mie, eti vibao wakasema niwape 10m wamalize kila kitu
Hapana. Unapigwa faini ambayo itakufanya usimamishe ujenzi na wakati mwingine hata kubomolewa jengo pia.Ukijenga bila ya hizo stika jiandae kutoa rushwa.
Hovyoo....Kwa Ushauri wangu.Jenga Tu nyumba ya kawaida Upate Uzoefu kisha ndo ujenge ghorofa.Unaweza ukanunua kiwanja kingine au ukaibomoa hiyoa ya kawaida ukajenge ghorofa ukiwa kamili.
Pole sana ndugu yangu. Mwenzako nimefikia hatua hii.Hapo ndio nilipochoka mie, eti vibao wakasema niwape 10m wamalize kila kitu
Ghorofa moja ukapime udongo ili? Hizi zote mbwembwe za corse work tu. Cha msingi apate ramani ampe injinia amfanyie hesabu. Udongo wa maeneo ya Pwani karibia wote ni sawa tuKuna watu wenye kazi zao, kwanza wanaanza kuchimba shimo futi kadhaa kuchukuwa mchanga sample unakwenda kupimwa.
Ghorofa halijengwi tu kama kichanja.