Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Afadhali angechagua kusimama kwenye haki kuweka legacy ili hata asiporudi
Kupata ubunge lakini aweke alama ya haki sasa yeye ataacha picha mbaya ya kutetea wahalifu.
Hivi hicho kikundi cha wavamizi ni wapiga kura wangapi mpaka aonekane wa ajabu?!
Jimbo lenye wasomi wengi ni gumu asisazi wakati wa JPM ni wakati huu , kuna wengine hawataki dhuluma za wazi kiasi hicho
Kupata ubunge lakini aweke alama ya haki sasa yeye ataacha picha mbaya ya kutetea wahalifu.
Hivi hicho kikundi cha wavamizi ni wapiga kura wangapi mpaka aonekane wa ajabu?!
Jimbo lenye wasomi wengi ni gumu asisazi wakati wa JPM ni wakati huu , kuna wengine hawataki dhuluma za wazi kiasi hicho