Green Beret
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 631
- 991
Mbona hii hatari sanaNinamfahamu aliyejengea hayo matofali, kule kwenye joints kumeweka cracks nyumba nzima.
Huyo alikuatana na mafundi ambao wanaweza kila kituNinamfahamu aliyejengea hayo matofali, kule kwenye joints kumeweka cracks nyumba nzima.
Mi najionea Matundu ya Njiwa
Fundi hakuwa Mjuzi wa kutumia hizo tofali.Ninamfahamu aliyejengea hayo matofali, kule kwenye joints kumeweka cracks nyumba nzima.
Pole sana Ndugu Yangu, Sina utaalam ila naweza kumuita Engineer zumbemkuu atatusaidia akiwa online. Shukrani sana.Mkuu, naomba unisaidie hapa kama hutojali. Nimefungua thread kuomba msaada wa interlock blocks hakuna aliejitokeza kunisaidia, ndio tatizo la wabongo wengi wabinafsi.
Mkuu, ni hivi!
1-Naomba kujua tofali ndogo/peving/interlock, kwa mfuko mmoja wa cement inatoa peving pisi ngapi? Na ziwe imara sana.
2-tipa ndogo ina uwezo wa kutoa peving ngapi?
3-tipa kubwa ya tani 20 inatoa peving ngapi?
4-kwa magari makubwa ya tani 5 mpaka 20, resho ya kiasi gani yanafaa kwa maana gari likipita yasipasuke?
5-Peving za aina gani nzuri, squre, pembe 4, sambusa n.k?
Habar mm ni fundi wa peving block unaweza niuliza swali kuhusu utengenezaji au ukitaka mawasiliano ntakupa nambaMkuu, naomba unisaidie hapa kama hutojali. Nimefungua thread kuomba msaada wa interlock blocks hakuna aliejitokeza kunisaidia, ndio tatizo la wabongo wengi wabinafsi.
Mkuu, ni hivi!
1-Naomba kujua tofali ndogo/peving/interlock, kwa mfuko mmoja wa cement inatoa peving pisi ngapi? Na ziwe imara sana.
2-tipa ndogo ina uwezo wa kutoa peving ngapi?
3-tipa kubwa ya tani 20 inatoa peving ngapi?
4-kwa magari makubwa ya tani 5 mpaka 20, resho ya kiasi gani yanafaa kwa maana gari likipita yasipasuke?
5-Peving za aina gani nzuri, squre,
Tofali zangu nilipiga kwa ratio ya 1bag kwa 90 blocks za Interlock
Habari wakuu, poleni kwa majukumu.
Naomba ushauri wa kuhusu kujenga nyumba na matofali ya interlocking blocks.
Wazo la nyumba: nyumba ya room mbili isiyokuwa sebule jiko na public toilet
Naomba kupata kujua gharama ya hizi tofali na je ni kila fundi anaweza au kuna fundi maalum
Mkuu karibu nikusaidie