Green Beret
JF-Expert Member
- Apr 22, 2022
- 631
- 991
Habari wakuu, poleni kwa majukumu.
Naomba ushauri wa kuhusu kujenga nyumba na matofali ya interlocking blocks.
Wazo la nyumba: nyumba ya room mbili isiyokuwa sebule jiko na public toilet
Naomba kupata kujua gharama ya hizi tofali na je ni kila fundi anaweza au kuna fundi maalumu?
Naomba ushauri wa kuhusu kujenga nyumba na matofali ya interlocking blocks.
Wazo la nyumba: nyumba ya room mbili isiyokuwa sebule jiko na public toilet
Naomba kupata kujua gharama ya hizi tofali na je ni kila fundi anaweza au kuna fundi maalumu?