Ujenzi wa kambi katika mazalia ya simba serengeti:-

Ujenzi wa kambi katika mazalia ya simba serengeti:-

kamkoda

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2012
Posts
396
Reaction score
71
Kuna Kampuni mmoja ya Muingereza imejenga kambi kubwa huko Lamai Serengeti katika mawe ambayo ni mazalia ya simba. Katika hali ya kawada hili halikubaliki kabisa kihifadhi, Je kuna mchezxo mchafu umefanyika? watu wa fani za utalii mwageni data...nasikia makampuni mengi yameanza kujenga sasa hivi, hivi kweli simba hao watakaa kweli?
 
kampuni inaitwaje....na ninavyoelewa huwezi piga kambi mahali bila kibali cha tanapa.....je ni permanent camp au mobile....?
 
Permanent!.... nakuna wafanyakazi zaidi ya 70
 
Back
Top Bottom