Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ndio zile floating ama?Napatikana Dar es Salaam karibu mkuu
So wee wajenga ngazi tuu boma hujengi?Yeah ni mfumo huo huo mkuu
Hapo kuna sentimita zizsizozidi 25, ni ngumu nyoka kukaa hapo.Wadudu kama nyoka hawawezi kufanya makazi chini ya ngazi au unaweka nini kuzuia hilo
Boma ndio nini?Najenga boma pia mkuu.View attachment 3237296
Karibu
Boma la nyumba ya vyumba viwili mpaka kupaua gharama ikoje?Najenga boma pia mkuu.View attachment 3237296
Karibu
Ungefafanua mkuu ili nikupe makadirio yenye uhalisia na unachohitqji.Boma la nyumba ya vyumba viwili mpaka kupaua gharama ikoje?
Wee bwana sii mjenzi vyumba viwili kimoja master public tolite kajiko kaushikaji sebuleUngefafanua mkuu ili nikupe makadirio yenye uhalisia na unachohitqji.
Mfano hivyo vyumba vina ukubwa gani, kama ramani unayo ya unachotaka kujenga au la.
Kuna mengi ya kuangalia
Mimi ni fundi na naelewa, unaona kama mwanzo umesema vyumba viwili, hapa umeongeza jiko, sebule n.kWee bwana sii mjenzi vyumba viwili kimoja master public tolite kajiko kaushikaji sebule
Sasa vyumba viwili tena hamna sebule nanjiko sii masikhara hayo jamaniMimi ni fundi na naelewa, unaona kama mwanzo umesema vyumba viwili, hapa umeongeza jiko, sebule n.k
Mwanzo vyumba viwili ningekwambia tofali 800,
Kumbe inahitajika sebule, jiko n.k
Kwahiyo ni vizuri kuelezea vizuri au ulete ramani kama unayo