Raja Casablanca
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 706
- 368
Salaam wakuu,
Kama mnavyojua ndugu zangu ni lazima tuhame kwa wazazi wetu tukaanze maisha. Na kutokana na hayo hatuna budi kufikiria kuwa na makazi yetu.
Uhalisia huo umenifanya niijiulize maswali mengi sana hasa ni gharama kiasi gani zinahitajika kutekeleza ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu na sebule yenye specifications zifuatazo;
Chumba kimoja master bedroom, vyumba viwili self contained. Public toilet moja, jiko, store, dinning, library na sebule.
Kutokana na specifications hizi napenda kujua gharama zake za ujenzi hasa hapa Dar es Salaam ili nijue najichanga vipi.
Nategemea mrejesho wenu wakuu.
Asanteni
Kama mnavyojua ndugu zangu ni lazima tuhame kwa wazazi wetu tukaanze maisha. Na kutokana na hayo hatuna budi kufikiria kuwa na makazi yetu.
Uhalisia huo umenifanya niijiulize maswali mengi sana hasa ni gharama kiasi gani zinahitajika kutekeleza ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu na sebule yenye specifications zifuatazo;
Chumba kimoja master bedroom, vyumba viwili self contained. Public toilet moja, jiko, store, dinning, library na sebule.
Kutokana na specifications hizi napenda kujua gharama zake za ujenzi hasa hapa Dar es Salaam ili nijue najichanga vipi.
Nategemea mrejesho wenu wakuu.
Asanteni