Ujenzi wa nyumba ya vyumba vitatu Dar es Salaam unahitaji bajeti ya milioni ngapi?

nichek watsap nikufanyie hesabu na ukadiliaji 0753757303
 
Nenda kajenga mkuu usipoteze muda ukishindwa uza pangala nunua gari tuone kama kuna mtu atakupeleka mahakamani
 
We nenda kajenga badala ya kupoteza muda. Kila nyumba ina bei yake. Kila fundi ana bei yake. Kila eneo lina bei yake hata kama Dar ni moja. Kujenga ni uwezo wako wa kufikiri, kusimamia, na fedha bila kusahau kuchagua na kupanga vilivyo.
Umemshauli vizuri sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…