Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chek me inboxNaomba mwenye uzoefu na mambo ya ujenzi, anisaidie gharama za kujenga msingi tu wa jengo la ghorofa tano plot size ni 20 * 20m
Bila mchoro wa Architect na Structural Engineer,hata usipojenga kabisa msingi unaweza kukamilisha hata ghorofa 13Naomba mwenye uzoefu na mambo ya ujenzi, anisaidie gharama za kujenga msingi tu wa jengo la ghorofa tano plot size ni 20 * 20m
Kuna ghorofa ipo biafra sidhani kama inafika hata 15 kwa 15, lakini limekwenda juu ghoroea 14.Plot ya 20 kwa 20 unapanga kujenga ghorofa ya floor 5!!!!
Nadhani ndiyo maana kuna ndugu hapo juu kashauri amuone mzee wa jadi mshana ili kufanikisha hilo jamboPlot ya 20 kwa 20 unapanga kujenga ghorofa ya floor 5!!!!
Ndo wanaoleta matatizo wanaojenga kama huyo wa Biafra. Yaani amejenga floors 14 halafu maegesho ya magari hana.kuna ghorofa ipo biafra sidhani kama inafika hata 15 kwa 15, lakini limekwenda juu ghoroea 14
Ghorofa si inaenda juu?! Zipo apartments nyinyi tu katika viwanja vya 20*20 ila ground floor yote ni parking.Plot ya 20 kwa 20 unapanga kujenga ghorofa ya floor 5!!!!
Sijajua unachoshangaa kipi. Ulishapita kwenye maghorofa ya kariakoo?Plot ya 20 kwa 20 unapanga kujenga ghorofa ya floor 5!!!!
Kweli pale kuna mnazi wa rangi nyekundu kila nikiona huwa ghofu inaniingia, hatari sana shughuli hizi waungwanakuna ghorofa ipo biafra sidhani kama inafika hata 15 kwa 15, lakini limekwenda juu ghoroea 14
sio lazima michoro ukijua requirements zake ni rhisi sana. Mkuu anahitaji high level estimates makisio ya awali au bugeti, haitaji exactly figure ila range figure.Bila mchoro wa Architect na Structural Engineer,hata usipojenga kabisa msingi unaweza kukamilisha hata ghorofa 13
Humu kila mtu kasoma COET na Ardhi
Plot ya 20 kwa 20 unapanga kujenga ghorofa ya floor 5!!!!