Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Paua kawaida tu, nyumba nyingi wanazochange huwa contempo huwa hazina muonekano mzuriKaka hebu nieleweshe wakati naanza ujenzi sikuwaza ujenzi wa namna hii lakini nyumba imefika saiz ya lenta inawezekana nisiezeke bâti?
Inategemea mkuu maana ukiacha mbwembwe zingine,huo muonekano utatafutwa kwa kuezeka mapaa yanayomwaga maeneo tofauti..Paua kawaida tu, nyumba nyingi wanazochange huwa contempo huwa hazina muonekano mzuri
Inawezekana sana mkuu japo inaweza kuhitaji kuongezea vionjo kidogo.Kaka hebu nieleweshe wakati naanza ujenzi sikuwaza ujenzi wa namna hii lakini nyumba imefika saiz ya lenta inawezekana nisiezeke bâti?
Sahihi sanaChangamoto hapo n mafundi. Sio paa lenyewe
Tatizo sio muundo bali nani kajenga mkuu.Kuna post moja juzi
Mvua imenyeshaa bati imeshukia ndani
Chumbani kumegeuka bwawa
Nkasema hii style basi tena
Ngja tuendelee na style zinazojulikana
Tatizo fundiz na sio muundoVitisho dhidi ya hizi nyumba ni kama vile vya magari ya Nissan au magari ya Wajerumani [emoji2365][emoji23]
Kawaida Mtanzania akishindwa kitu hutisha wengineHizi nyumba zimejaa vitisho
Uko sahihi sana.Hakuna fundi anayezimudu kupaua au wewe ndio huwajui mafundi mkuu??
Tatizo kinachowacost watu ni kutokujua
Hizi nyumba sio kwamba gharama inapungua kama wengi wanavyodhania, ile gharama inayopungua kwenye bati na mbao utaifidia pale kwenye gata, na ikitokea fundi wako amejenga gata la kubana matumizi hapo sasa ndio utavujiwa mpaka akili ikukae sawa.
Unajua sababu ya kuvuja?Uzuri au Ubaya wa kitu chochote upo kwa mtu anayehitaji hicho kitu. Ndiyo maana pamoja na watu kusikia kwamba nyumba za namna hiyo huvuja sana (Mabaya) lakini hawaachi kujenga.
Ila kwa upande wangu naweza sema, uzuri wa nyumba hizi kwa uchache
1. Zina muonekano mzuri kama mchora ramani yako alikuwa vyema kwenye kuinakshi hiyo ramani na ukapata mtu sahihi wa kufanya finishing.
2. Inaokoa gharama ya mbao kwa kiasi fulani
3. Inaokoa gharama ya bati kwa kuwa bati unayoweka yaweza kuwa ya kawaida kimuonekano lakini ni bati bora.
Ubaya
1. Ni nyumba inahitaji maintainance kubwa zaidi ukilinganisha na aina ingine.
Kumbuka, pamoja na huo unaitwa ubaya wa kuvuja kwa nyumba hizi, hata ukipiga bati kawaida na usipopata fundi mzuri lazima zivuje.
Asante
Sio kweli mkuu wanguKiufupi hakuna fundi anayezimudu kwenye upauaji uezekaji .
Kwanini uvujiwe?Fikiria umelala zako usingizi mzito, mvua kubwa inanyesha, ni saa saba usiku alafu inaanza kuvuja na hapohapo umeme unakatika.
SawaTafadhali tufahamishe kimo kilichopo kati ceiling board na paa/bati.
Wiring ya hizi nyumba kwenye roof hufanyikia wapi ukilinganisha na nyumba za kawaida?
KaribuSubscribed...Nazipenda kweli , nitarudi
Safi sanaNampango wa kujenga mojA apa dar
Cyanee naomba kama utanisaidia kupata Ka ramani kazuri ka chumba kimoja na choo chake,chumba kikubwa wastani ila kachumba kawe na paa la kuficha kama hilo,ikikupendeza unipe gharama za ujenzi na gharama za nyumba mpaka nahamia.Unajua sababu ya kuvuja?
Ramani nitakuandalia mkuu.Cyanee naomba kama utanisaidia kupata Ka ramani kazuri ka chumba kimoja na choo chake,chumba kikubwa wastani ila kachumba kawe na paa la kuficha kama hilo,ikikupendeza unipe gharama za ujenzi na gharama za nyumba mpaka nahamia.
Kama Mungu akipenda na wewe ukipenda pia nitafurahi ukiwa fundi wangu kwenye hako ka master single room.
Bei ujumuishe kila kitu kuanzia material mpk Ufundi ikikupendeza hapahapa kwa faida ya wengi,ya ufundi ndio unaweza nitumia Inbox kama utaona soo kuiweka hapa.Asante.
Karibu mremboNi nzuri