Ujenzi wa Uwanja wa Timu ya Young Africans Kuanza Mwezi Ujao.

Ujenzi wa Uwanja wa Timu ya Young Africans Kuanza Mwezi Ujao.

Greda lipo site linasafisha halafu mnasema ujenzi utaanza mwezi ujao, kwani hilo greda linapofanya kazi si ndiyo ujezi umeanza? Ngoja niwe na akiba ya maneno maana Hersi anaweza kuangusha wanja ka la Santiago Bernabéu tutakosa pa kujificha
Weka picha ya saiti
 
Haya ndio maendeleo ya soka la TZ tunayotaka kuyasikia, kwa timu yenye umri wa miaka 89 inapaswa kuwa na hiyo miundombinu.
 
Tuendee kupotoshana kwenye hili lakin kizazi kitakacho kuja kujenga uwajja wa vilabu hivi viwili simba na yanga bado hakijazaliwa.
 
Mapema leo, Kamati ya Utendaji ya Yanga chini ya Rais Eng. Hersi Said wamekutana kwenye kikao maalumu cha utendaji kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano Serena Hotel, Jijini Dar Es Salaam

Kikao hicho kilijikita zaidi kwenye kujadili ajenda mbili, Hatua ya mchakato wa mabadiliko ya uendeshaji wa Klabu na Ujenzi wa Uwanja wa Yanga ambao unatarajiwa kuanza mwezi ujao
Hata mwaka jana tuliambia hivi, cha kushangaza huu mwezi ujao huwa haufiki ni umbali gani kutoka leo kufikia huo mwezi ujao??..kwann wasituambie kwa ufasaha ili tuweke kumbukumbu vizuri... Kwa mfano waseme tu yanga kuanza kujenga uwanja wao mpya tarehe fulani mwezi fulani mwaka filani ili siku hiyo ikifika tukumbushane....
 
Back
Top Bottom