mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Weka picha ya saitiGreda lipo site linasafisha halafu mnasema ujenzi utaanza mwezi ujao, kwani hilo greda linapofanya kazi si ndiyo ujezi umeanza? Ngoja niwe na akiba ya maneno maana Hersi anaweza kuangusha wanja ka la Santiago Bernabéu tutakosa pa kujificha
Mbumbumbu Engineering Company Limited (MECL) kutoka Tanzania.Kampuni yake inaitwajwe?
Mwina Kaduguda.Contractor ni nani?
Labda umpe wewe hiyo nnnnchiii yako hapo.Kiongozi wa mfano, Hersi akimaliza muda wake Yanga tumpe nchi kabisa!
Ally kamwe alisema wao wameshaacha kufanya vikao hotelini Sasa imekuwaje tena?Mbumbumbu watabisha hapa jukwaani
Hata mwaka jana tuliambia hivi, cha kushangaza huu mwezi ujao huwa haufiki ni umbali gani kutoka leo kufikia huo mwezi ujao??..kwann wasituambie kwa ufasaha ili tuweke kumbukumbu vizuri... Kwa mfano waseme tu yanga kuanza kujenga uwanja wao mpya tarehe fulani mwezi fulani mwaka filani ili siku hiyo ikifika tukumbushane....Mapema leo, Kamati ya Utendaji ya Yanga chini ya Rais Eng. Hersi Said wamekutana kwenye kikao maalumu cha utendaji kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano Serena Hotel, Jijini Dar Es Salaam
Kikao hicho kilijikita zaidi kwenye kujadili ajenda mbili, Hatua ya mchakato wa mabadiliko ya uendeshaji wa Klabu na Ujenzi wa Uwanja wa Yanga ambao unatarajiwa kuanza mwezi ujao