Ujerumani atatwaa Ubingwa wa Kombe la Dunia 2018

Ujerumani atatwaa Ubingwa wa Kombe la Dunia 2018

Enyi team Neymar, team Ronaldo na bila kusahau team Griezmann,najua wengi wenu mtabishana sana na ukweli ulio wazi na wenye kuonekana dhahiri kuwa Kombe la Dunia la mwaka ujao 2018 nchini Urusi lina bebwa tena na ujerumani.

Timu pekee ambayo imekuwa ikimsumbua mjerumani imekosa nafasi ya kushiriki michuano hiyo, hivyo basi na kuipa nafasi kuwa Vijana wa Angel Mekel kufanya yao kirahisi sana mwakani.

Kuna underdogs kama team Kane, team Iniesta na team Lukaku, wala sibishani na nyinyi kwa kuwa sioni kile mnacho weza kufanya mbele ya team Neymar,Ronaldo na Griezmann.

Mjerumani anaena kufanya kitu ambacho kinafikiriwa na wengi hivi sasa kwenye mioyo yao.

View attachment 630567 View attachment 630568 View attachment 630569 View attachment 630570 View attachment 630571 View attachment 630572 View attachment 630573 View attachment 630574 View attachment 630575 View attachment 630576 View attachment 630577 View attachment 630578 View attachment 630579 View attachment 630580 View attachment 630581 View attachment 630582 View attachment 630583


Hawa dawa yao hii
Enyi team Neymar, team Ronaldo na bila kusahau team Griezmann,najua wengi wenu mtabishana sana na ukweli ulio wazi na wenye kuonekana dhahiri kuwa Kombe la Dunia la mwaka ujao 2018 nchini Urusi lina bebwa tena na ujerumani.

Timu pekee ambayo imekuwa ikimsumbua mjerumani imekosa nafasi ya kushiriki michuano hiyo, hivyo basi na kuipa nafasi kuwa Vijana wa Angel Mekel kufanya yao kirahisi sana mwakani.

Kuna underdogs kama team Kane, team Iniesta na team Lukaku, wala sibishani na nyinyi kwa kuwa sioni kile mnacho weza kufanya mbele ya team Neymar,Ronaldo na Griezmann.

Mjerumani anaena kufanya kitu ambacho kinafikiriwa na wengi hivi sasa kwenye mioyo yao.

View attachment 630567 View attachment 630568 View attachment 630569 View attachment 630570 View attachment 630571 View attachment 630572 View attachment 630573 View attachment 630574 View attachment 630575 View attachment 630576 View attachment 630577 View attachment 630578 View attachment 630579 View attachment 630580 View attachment 630581 View attachment 630582 View attachment 630583


Dawa ya Ujerumani ni hii
Llouris
Kurzawa Umtiti Koscienly Jallet

Coman Tolliso Matuidi Mbappe

griezmann giroud

Kwa leo!!!!!!!!!!
 
Ujerumani ana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa. Ila mpira hautabiriki.
 
Unge angalia documentary jana cnn inayo usu wa agentina na messi kuhusu kombe la dunia ungeelewa nini namaanisha..muda utaongea zaid

Documentary ndio nini braza...? Zingatia uhalisia. Kama kuwa na Documentary yenye kusisimua basi Taifa Stars nao wangekuwa wanajiandaa kwenda Urusi 2018.
 
Bra/Arg si wakubezwa nao.

Timu ambazo zinategemea nyota wao kama Vile Argentina, Ureno na Brazil uwezi kusipa nafasi kabisa, Last season tulishuhudia brazil ya Neymar ilivyofanywa na Mjerumani aliyekuwa amesheheni vipaji kila kona ya kikosi chake.

Sikujua kama kuna Binadamu anaye ipa nafasi England kutwaa Ubingwa, Asante kwa kunifungua macho yangu. 😀
 
My mkuu ujeruman hachukui ubingwa msinu huu kuna timu zipo vizuri mfano France, UK, hapa kwa england endapo wakijipanga vizuri kikosi chao kimesheheni lundo LA vijana Hawa ndio mabingwa Wa dunia Wa U17,U20
England hawezi kuchukua hilo kombe..hao vijana hawana ubabe huo
 
Kiongozi naomba tuhifadhi maneno mimi natabir agentina..belgium..france..nigeria kati ya izo kuna mmoja apo atamuagisha uyo mtu wako
Hakuna timu ya kuizuia ujerumani mkuu, tatizo la ujerumani kwenye hizi WCQ lilikua ni striker lakini saizi kuna damu changa zinakuja kwa kasi sana, hadi kufika mwakani watakua wamesha zoea mikiki mikiki, upande wa golikipa, beki na mido hakuna shida yyte.
 
Mmeanza tena lamli zenu,
ilikuwa uchaguzi wa urahisi TZ mkashangazwa no membe or lowassa
ilikuwa euro mkashangazwa,ureno ikachukua
uchaguzi US,trump akachukua,
haya twendeni russia ila msikimbie tu.
 
Back
Top Bottom