lumbi lumbi
Senior Member
- May 30, 2017
- 173
- 160
Enyi team Neymar, team Ronaldo na bila kusahau team Griezmann,najua wengi wenu mtabishana sana na ukweli ulio wazi na wenye kuonekana dhahiri kuwa Kombe la Dunia la mwaka ujao 2018 nchini Urusi lina bebwa tena na ujerumani.
Timu pekee ambayo imekuwa ikimsumbua mjerumani imekosa nafasi ya kushiriki michuano hiyo, hivyo basi na kuipa nafasi kuwa Vijana wa Angel Mekel kufanya yao kirahisi sana mwakani.
Kuna underdogs kama team Kane, team Iniesta na team Lukaku, wala sibishani na nyinyi kwa kuwa sioni kile mnacho weza kufanya mbele ya team Neymar,Ronaldo na Griezmann.
Mjerumani anaena kufanya kitu ambacho kinafikiriwa na wengi hivi sasa kwenye mioyo yao.
View attachment 630567 View attachment 630568 View attachment 630569 View attachment 630570 View attachment 630571 View attachment 630572 View attachment 630573 View attachment 630574 View attachment 630575 View attachment 630576 View attachment 630577 View attachment 630578 View attachment 630579 View attachment 630580 View attachment 630581 View attachment 630582 View attachment 630583
Hawa dawa yao hii
Enyi team Neymar, team Ronaldo na bila kusahau team Griezmann,najua wengi wenu mtabishana sana na ukweli ulio wazi na wenye kuonekana dhahiri kuwa Kombe la Dunia la mwaka ujao 2018 nchini Urusi lina bebwa tena na ujerumani.
Timu pekee ambayo imekuwa ikimsumbua mjerumani imekosa nafasi ya kushiriki michuano hiyo, hivyo basi na kuipa nafasi kuwa Vijana wa Angel Mekel kufanya yao kirahisi sana mwakani.
Kuna underdogs kama team Kane, team Iniesta na team Lukaku, wala sibishani na nyinyi kwa kuwa sioni kile mnacho weza kufanya mbele ya team Neymar,Ronaldo na Griezmann.
Mjerumani anaena kufanya kitu ambacho kinafikiriwa na wengi hivi sasa kwenye mioyo yao.
View attachment 630567 View attachment 630568 View attachment 630569 View attachment 630570 View attachment 630571 View attachment 630572 View attachment 630573 View attachment 630574 View attachment 630575 View attachment 630576 View attachment 630577 View attachment 630578 View attachment 630579 View attachment 630580 View attachment 630581 View attachment 630582 View attachment 630583
Dawa ya Ujerumani ni hii
Llouris
Kurzawa Umtiti Koscienly Jallet
Coman Tolliso Matuidi Mbappe
griezmann giroud
Kwa leo!!!!!!!!!!