Ujerumani inajiandaa na WWIII? Taarifa zilizovuja zaonesha kuwa inaandaa wanajeshi 800,000 kwa ajili ya kupambana na Urusi

Ujerumani inajiandaa na WWIII? Taarifa zilizovuja zaonesha kuwa inaandaa wanajeshi 800,000 kwa ajili ya kupambana na Urusi

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Mbona kama tunaelekea kwenye WWIII? Whats going on?

Siku ya Jumatano gazeti la New York Post limevujisha taarifa kuwa Ujerumani inajiandaa kupeleka askari wapatao 800,000 nchini Ukraine baada ya vitisho vya nyuklia kutoka Urusi kuongezeka.

Mpango huo umeitwa "Operesheni Deutschland" na una kurasa 1,000 na unalenga kuandaa Ujerumani kwa ajili ya vita vya Tatu vya Dunia


NY POST.png

===============================================
Secret documents revealed Wednesday that Berlin has begun making plans for how it could help deploy as many as 800,000 NATO troops — including Americans — into Ukraine as Russia’s nuclear saber-rattling reaches new heights.

“Operation Deutschland” is a 1,000-page plan to prepare Germany for the possibility of a World War III scenario.

The top-secret papers reportedly detail specific buildings and infrastructure to protect so they can be utilized by the military, and how businesses and civilians should prepare in case of increased threats, according to the German newspaper Frankfurter Allgemeine Zeitung.

They also suggested Berlin was preparing a way to push 200,000 military vehicles across German territory should the alliance be required to join Ukraine’s efforts, though further details were kept classified.

Germany has also advised citizens on ways to prepare for the worst by boosting their self-sufficiency through mechanisms including installing diesel generators or even wind turbines, according to the report.

Putin ‘playing with our fear’

The alarm is not contained to Germany. Sweden and Norway have also recently issued pamphlets and literature instructing citizens on how to prepare should the Ukraine conflict boil over into their countries.

The rising concern comes as Russian President Vladimir Putin formally changed the Kremlin’s nuclear strike policy on Tuesday, announcing that Moscow may now use nuclear weapons to respond to non-nuclear, “conventional weapons” strikes.

My take
Ni wazi kuwa tuko on the Brink of WWIII na wa kuwalaumiwa ni Biden na serikali yake!

Source: NY Post
 
Wakuu,

Mbona kama tunaelekea kwenye WWIII? Whats going on?

Siku ya Jumatano gazeti la New York Post limevujisha taarifa kuwa Ujerumani inajiandaa kupeleka askari wapatao 800,000 nchini Ukraine baada ya vitisho vya nyuklia kutoka Urusi kuongezeka.

Mpango huo umeitwa "Operesheni Deutschland" na una kurasa 1,000 na unalenga kuandaa Ujerumani kwa ajili ya vita vya Tatu vya Dunia



===============================================
Secret documents revealed Wednesday that Berlin has begun making plans for how it could help deploy as many as 800,000 NATO troops — including Americans — into Ukraine as Russia’s nuclear saber-rattling reaches new heights.

“Operation Deutschland” is a 1,000-page plan to prepare Germany for the possibility of a World War III scenario.

The top-secret papers reportedly detail specific buildings and infrastructure to protect so they can be utilized by the military, and how businesses and civilians should prepare in case of increased threats, according to the German newspaper Frankfurter Allgemeine Zeitung.

They also suggested Berlin was preparing a way to push 200,000 military vehicles across German territory should the alliance be required to join Ukraine’s efforts, though further details were kept classified.

Germany has also advised citizens on ways to prepare for the worst by boosting their self-sufficiency through mechanisms including installing diesel generators or even wind turbines, according to the report.

Putin ‘playing with our fear’

The alarm is not contained to Germany. Sweden and Norway have also recently issued pamphlets and literature instructing citizens on how to prepare should the Ukraine conflict boil over into their countries.

The rising concern comes as Russian President Vladimir Putin formally changed the Kremlin’s nuclear strike policy on Tuesday, announcing that Moscow may now use nuclear weapons to respond to non-nuclear, “conventional weapons” strikes.

My take
Ni wazi kuwa tuko on the Brink of WWIII na wa kuwalaumiwa ni Biden na serikali yake!

Source: NY Post
Vizuri LAKINI haitotokea kamwe
 
Wakuu,

Mbona kama tunaelekea kwenye WWIII? Whats going on?

Siku ya Jumatano gazeti la New York Post limevujisha taarifa kuwa Ujerumani inajiandaa kupeleka askari wapatao 800,000 nchini Ukraine baada ya vitisho vya nyuklia kutoka Urusi kuongezeka.

Mpango huo umeitwa "Operesheni Deutschland" na una kurasa 1,000 na unalenga kuandaa Ujerumani kwa ajili ya vita vya Tatu vya Dunia



===============================================
Secret documents revealed Wednesday that Berlin has begun making plans for how it could help deploy as many as 800,000 NATO troops — including Americans — into Ukraine as Russia’s nuclear saber-rattling reaches new heights.

“Operation Deutschland” is a 1,000-page plan to prepare Germany for the possibility of a World War III scenario.

The top-secret papers reportedly detail specific buildings and infrastructure to protect so they can be utilized by the military, and how businesses and civilians should prepare in case of increased threats, according to the German newspaper Frankfurter Allgemeine Zeitung.

They also suggested Berlin was preparing a way to push 200,000 military vehicles across German territory should the alliance be required to join Ukraine’s efforts, though further details were kept classified.

Germany has also advised citizens on ways to prepare for the worst by boosting their self-sufficiency through mechanisms including installing diesel generators or even wind turbines, according to the report.

Putin ‘playing with our fear’

The alarm is not contained to Germany. Sweden and Norway have also recently issued pamphlets and literature instructing citizens on how to prepare should the Ukraine conflict boil over into their countries.

The rising concern comes as Russian President Vladimir Putin formally changed the Kremlin’s nuclear strike policy on Tuesday, announcing that Moscow may now use nuclear weapons to respond to non-nuclear, “conventional weapons” strikes.

My take
Ni wazi kuwa tuko on the Brink of WWIII na wa kuwalaumiwa ni Biden na serikali yake!

Source: NY Post
Inataka kulipa kisasi cha kipigo walichokipata kutoka kwa Mrusi kwenye vita ya pili ya dunia. Kitu ambacho watu wengi hawafahamu, Mrusi ndiye alikuwa wa kwanza kutia maguu pale ujerumani na kuashiria kuwa Hitler anaelekea kuanguka kabisa. soviets walikuwa wa kwanza kukamata berlin.
 
Isaya 9:6

Isaya 9:6

Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto wa kiume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa Ajabu, ...

Nilijua utatoa andiko linasema Yesu ni Mungu, sasa kama mtoto amezaliwa tena mtoto wa kiume,
Unakusudia kusema mungu ana jinsia? lakini mtoto amezaliwa wamaanisha kabla mtoto kuzaliwa hakukua na mungu? mama yake mtoto yeye atakuwa nani aliyemzaa yeye na kumlea huyo mtoto

mtoto wa kiume siku tunajua kwamba huyo atakuwa ni mtu na sio mungu, lete andiko yesu ni mungu

(Aliyesema kwa ajili yetu mtoto amezaliwa.. haya maneno alisema mwenyewe mtoto baada ya kuzaliwa ama alisema nani?
 
Back
Top Bottom