Ujerumani inajiandaa na WWIII? Taarifa zilizovuja zaonesha kuwa inaandaa wanajeshi 800,000 kwa ajili ya kupambana na Urusi

Kabla ya kumlaumu Putin zilaumu nchi za magharibi kwa kuvunja mkataba wao waliojiwekea na Urusi kuhusu kujitanua kuelekea kwa mwenzake. Putin ana haki ya kujilinda pia
Basi na wavamie Sweden na Finland ambazo nazo zimejiunga na NATO baada ya Urusi kuivamia Ukraine na zote zina share border na Russia. NATO imezidi kujitanua baada ya uvamizi wao.
 
Wajerumani nao kwa gubu au bado wana kisasi tangu walivyopelekewa moto mwaka 45 na Mrusi , shida ya mrusi utampiga weee ukishaamini kachoka kabisa huyu ndio anaamka na kuanza kukubarthazar ukasimulie mbele huko
Ujerumani ilichangiwa, Ukraine ya Leo Ndio sawa na USSR kipindi hicho...

Yaani kama Ujerumani asingepigana Mashariki na Magharibi Leo kusingekuwa na Russia, Moscow ingekuwa inaitwa kwa Jina la kijerumani
 
Hizo ni propanda za mitandaoni zisizo za kweli!
Hata majeshi ya NATO kiasi gani yakusanyike Ukraine hayawezi kuzuia makombora ya Nuklea wala hawana mitambo ya kuzuia.
 
Wajerumani nao kwa gubu au bado wana kisasi tangu walivyopelekewa moto mwaka 45 na Mrusi , shida ya mrusi utampiga weee ukishaamini kachoka kabisa huyu ndio anaamka na kuanza kukubarthazar ukasimulie mbele huko
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ€£
 
New York Post ni gazeti la udaku
 
Yohana 8:40
Lakini sasa mnatafuta kuniua mimi, mtu ambaye nimewaambia iliyo kweli, niliyoisikia kwa Mungu.
Ufunuo 22:
(Revelation)

UFUNUO (22:16.) Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi.
 
Yohana (8:23). Akawaambia, Ninyi ni wa chini, mimi ni wa juu; ninyi ni wa ulimwengu huu, mimi si wa ulimwengu huu.
(24). Kwa hiyo naliwaambieni ya kwamba mtakufa katika dhambi zenu; kwa sababu msiposadiki ya kuwa mimi ndiye, mtakufa katika dhambi zenu.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mbona hujamalizia?
Isaya 9 : 6

Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.

Huo ni unabii wa Isaya about 500 years kabla ya Yesu kuzaliwa...
Then unabii ukaja kukamilika miaka 2000 iliyopita...
Pia soma hii hapa chini
Yohana 8:56....
56 Ibrahimu, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi.
57 Basi Wayahudi wakamwambia, Wewe hujapata bado miaka hamsini, nawe umemwona Ibrahimu?
58 Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahimu asijakuwako, mimi niko.
59 Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.
Unajua ni kwanini Wayahudi wakitaka kumpgia Yesu kwa mawe?
Wayahudi wanamjua IAM THAT I AM ni nani lakini kibanzi kilikuwa bado kipo machoni Pao ili kutambua they were talking with The Invincible God...
Word became flesh and came to stay with us...
 
Uungu wa mtu siyo lazima that specific person a proclaim ....
Uungu means uweza beyond human capability...
Yesu alisamehe dhambi- Only God has the power of forgiveness.
Yesu alimfufua Lazaro...Ali claim kwa dada yake Lazaro kwamba yeye ndiye Ufufuo wenyewe..Only God can do that my friend.
 
Kwa sasa mataifa mengi ya Ulaya, Yale matabe ikiwemo Ujerumani, Yana hali mbaya kiuchumi, maendeleo yao kiteknolojia ni duni, hayana rasilimali watu (vijana) ndio maana yanapokea maelekezo toka US na kutii.
Hayana hata nishati ya bei nafuu, je unadhani watatamani vita?
 
Ufunuo 22:
(Revelation)

UFUNUO (22:16.) Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi.
Daah! Walokole mmesha uvamia Uzi wa watu! !!
 
Dah! Ujerumani Ina Hali mbaya ya kiuchumi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…