Pre GE2025 Ujerumani: Nchi ya watu Milioni 83 inasemekana wamemaliza kuhesabu kura ndani ya saa 8 baada ya kukamilisha kwa zoezi, Tanzania tuna la kujifunza

Pre GE2025 Ujerumani: Nchi ya watu Milioni 83 inasemekana wamemaliza kuhesabu kura ndani ya saa 8 baada ya kukamilisha kwa zoezi, Tanzania tuna la kujifunza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sisi kama Watanzania na tume yetu Huru ya uchaguzi kuna jambo la kujifunza.

Ujerumani ni nchi ya watu mil 83, wamefanya uchaguzi mkuu jana uliokuwa na ushindani mkubwa sana na ukifuatiliwa ulimwenguni kote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Inasemekana masaa nane baada ya uchaguzi, wameshamaliza zoezi la kuhesabu kura na matokeo ya awali yametoka, matokeo ambayo huwa hayatofautiani pakubwa na matokeo rasmi. Tume yetu Huru ya Uchaguzi iige mfano huu, matokeo yajulikane mapema na siyo hadi kutokee mivutano ndipo yatangazwe hasa yale ya wabunge na madiwani.


View: https://x.com/visegrad24/status/1893836848947937395?t=B5aNLlv3H1FXgIG6cxFJ9Q&s=19

Masaa mawili matokeo yalikuwa tayari na Trump akatuma pongezi 🐼
 
Hahahahaha, yaani Africa mtu alale awaachie watu mabox ya kura vituoni, hahahahaha.

Viongozi wa Africa hawajiamini linapofika suala la uchaguzi, matokeo yake ni kuhakikisha matokeo wanayajua kwanza wao mapema ili wafanye manipulation.
 
chaguzi za Tanzania huvurugwa na kucheleweshwa zaidi na vibaka na matapeli wa siasa kwamfano wa fujo za wale jamaa wa no reform no elections n.k,

Lakini matokeo ndani ya masaa10-12 inawezekana kabisa 🐒
Kweli uko ovyo! SM ndio Chanzo Cha vulugu hawataki kutangaza hasa kule walikoshindwa, Wewe unalijua ila unashupaza shingo!
 
Mbona mda mrefu sana huo
Ilipaswa kuwa 1hr kama wangetumia tech vizuri
Hawastahili pongezi
 
Kweli uko ovyo! SM ndio Chanzo Cha vulugu hawataki kutangaza hasa kule walikoshindwa, Wewe unalijua ila unashupaza shingo!
Matokeo hutangazwa na Tume huru ya uchaguzi Tanzania na sio poyoyo au kibaka yeyote gentleman 🐒
 
Sisi kama Watanzania na tume yetu Huru ya uchaguzi kuna jambo la kujifunza.

Ujerumani ni nchi ya watu mil 83, wamefanya uchaguzi mkuu jana uliokuwa na ushindani mkubwa sana na ukifuatiliwa ulimwenguni kote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Inasemekana masaa nane baada ya uchaguzi, wameshamaliza zoezi la kuhesabu kura na matokeo ya awali yametoka, matokeo ambayo huwa hayatofautiani pakubwa na matokeo rasmi. Tume yetu Huru ya Uchaguzi iige mfano huu, matokeo yajulikane mapema na siyo hadi kutokee mivutano ndipo yatangazwe hasa yale ya wabunge na madiwani.


View: https://x.com/visegrad24/status/1893836848947937395?t=B5aNLlv3H1FXgIG6cxFJ9Q&s=19

Sasa wahamiaji wanalo naona vyama vyote viwili vinavyoongoza kwa kura sera ni kubana wahamiaji haramu
 
Hii ni ya kuigwa kweli kweli!
Yeah
IMG-20250224-WA0009.jpg
 
Sisi kama Watanzania na tume yetu Huru ya uchaguzi kuna jambo la kujifunza.

Ujerumani ni nchi ya watu mil 83, wamefanya uchaguzi mkuu jana uliokuwa na ushindani mkubwa sana na ukifuatiliwa ulimwenguni kote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Inasemekana masaa nane baada ya uchaguzi, wameshamaliza zoezi la kuhesabu kura na matokeo ya awali yametoka, matokeo ambayo huwa hayatofautiani pakubwa na matokeo rasmi. Tume yetu Huru ya Uchaguzi iige mfano huu, matokeo yajulikane mapema na siyo hadi kutokee mivutano ndipo yatangazwe hasa yale ya wabunge na madiwani.


View: https://x.com/visegrad24/status/1893836848947937395?t=B5aNLlv3H1FXgIG6cxFJ9Q&s=19


Tatizo la Tanzania ni wizi wa kura wa CCM. Kura zinazoletwa kwenye mabegi huwa zinawapa shida kuzibalance. Miaka 5 baada ya uchaguzi wameshindwa kuchapisha kwenye government gazette kura za Urais ikionyensha kuwa wameshindwa kuzibalance ... hii inaonyesha ni kiasi gani wizi kura umekuwa institutionized.
 
Sisi kama Watanzania na tume yetu Huru ya uchaguzi kuna jambo la kujifunza.

Ujerumani ni nchi ya watu mil 83, wamefanya uchaguzi mkuu jana uliokuwa na ushindani mkubwa sana na ukifuatiliwa ulimwenguni kote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Inasemekana masaa nane baada ya uchaguzi, wameshamaliza zoezi la kuhesabu kura na matokeo ya awali yametoka, matokeo ambayo huwa hayatofautiani pakubwa na matokeo rasmi. Tume yetu Huru ya Uchaguzi iige mfano huu, matokeo yajulikane mapema na siyo hadi kutokee mivutano ndipo yatangazwe hasa yale ya wabunge na madiwani.


View: https://x.com/visegrad24/status/1893836848947937395?t=B5aNLlv3H1FXgIG6cxFJ9Q&s=19

Lissu analamika pekee yake tunamuina chizi
 
Sisi kama Watanzania na tume yetu Huru ya uchaguzi kuna jambo la kujifunza.

Ujerumani ni nchi ya watu mil 83, wamefanya uchaguzi mkuu jana uliokuwa na ushindani mkubwa sana na ukifuatiliwa ulimwenguni kote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Inasemekana masaa nane baada ya uchaguzi, wameshamaliza zoezi la kuhesabu kura na matokeo ya awali yametoka, matokeo ambayo huwa hayatofautiani pakubwa na matokeo rasmi. Tume yetu Huru ya Uchaguzi iige mfano huu, matokeo yajulikane mapema na siyo hadi kutokee mivutano ndipo yatangazwe hasa yale ya wabunge na madiwani.


View: https://x.com/visegrad24/status/1893836848947937395?t=B5aNLlv3H1FXgIG6cxFJ9Q&s=19

Zanzibar wapo laki 5 lakini matokeo yanatangazwa baada ya week.
 
Huku inachukus muda kujaza kura za bandia wakihesabu na kuona hazitoshi wanarudia tena na tena kujaza nyingine hata ikichukua mwezi mzima.
 
Back
Top Bottom