Pre GE2025 Ujerumani: Nchi ya watu Milioni 83 inasemekana wamemaliza kuhesabu kura ndani ya saa 8 baada ya kukamilisha kwa zoezi, Tanzania tuna la kujifunza

Pre GE2025 Ujerumani: Nchi ya watu Milioni 83 inasemekana wamemaliza kuhesabu kura ndani ya saa 8 baada ya kukamilisha kwa zoezi, Tanzania tuna la kujifunza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sisi kama Watanzania na tume yetu Huru ya uchaguzi kuna jambo la kujifunza.

Ujerumani ni nchi ya watu mil 83, wamefanya uchaguzi mkuu jana uliokuwa na ushindani mkubwa sana na ukifuatiliwa ulimwenguni kote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Inasemekana masaa nane baada ya uchaguzi, wameshamaliza zoezi la kuhesabu kura na matokeo ya awali yametoka, matokeo ambayo huwa hayatofautiani pakubwa na matokeo rasmi. Tume yetu Huru ya Uchaguzi iige mfano huu, matokeo yajulikane mapema na siyo hadi kutokee mivutano ndipo yatangazwe hasa yale ya wabunge na madiwani.


View: https://x.com/visegrad24/status/1893836848947937395?t=B5aNLlv3H1FXgIG6cxFJ9Q&s=19

Ujerumani ni nchi ya dunia ya kwanza Tanzania inatafuta kuufikia uchumi wa kati hatua ya juu, ni vitu viwili tofauti.

Ujerumani ni mfadhili wa Tanzania kiuchumi.
 
Suala si watu, suala ni miundombinu inayotumika kufanya upigaji kura na uhesabuji kura hizo!!! Tanzania na Ujerumani tuna tofauti kubwa sana ya miundo mbinu ya kupiga na kuhesabu kura!!!

Baadhi huko kura ni furusa ya kupiga hela kwa namna yoyote kule ni furusa ya kuonyesha ni namna gani nchi iendeshwe!!!
Mkuu nikupe changamoto, jimbo la Kinondoni linashindwa vipi kumaliza kuhesabu kura kwa siku tatu? Yaani linakuwa sawa na Jimbo la Malinyi?
 
Mercedes-Benz hao wapo mbali sana hao wenzetu waligundua Benz inayotumia matairi matatu mwaka 1885-1886 sisi vitu vinavyotumia matairi matatu tunatumia 2025 vimeboreshwa na kuwa Bajaji sasa kaangalie Mercedes ya 2025.
Watanzania mambo mengine tunajicheleweshaga wenyewe
 
Sisi kama Watanzania na tume yetu Huru ya uchaguzi kuna jambo la kujifunza.

Ujerumani ni nchi ya watu mil 83, wamefanya uchaguzi mkuu jana uliokuwa na ushindani mkubwa sana na ukifuatiliwa ulimwenguni kote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Inasemekana masaa nane baada ya uchaguzi, wameshamaliza zoezi la kuhesabu kura na matokeo ya awali yametoka, matokeo ambayo huwa hayatofautiani pakubwa na matokeo rasmi. Tume yetu Huru ya Uchaguzi iige mfano huu, matokeo yajulikane mapema na siyo hadi kutokee mivutano ndipo yatangazwe hasa yale ya wabunge na madiwani.

View attachment 3247558
sawa
 
....za dijitali ambapo simu ziko kila mahali unahitaji miondombinu gani kutoa matoke ya uchaguzi n...
Kama inasemekana baadhi ya mabenk katika nchi za Afrika mashariki zimepigwa karibu 80 billion kimtandao seuze kura za kidigital... Trump mwenyewe aliibiwa kura....!!! Ndiyo maana safari hii kaingia kivingine.
 
Ujerumani ni nchi ya dunia ya kwanza Tanzania inatafuta kuufikia uchumi wa kati hatua ya juu, ni vitu viwili tofauti.

Ujerumani ni mfadhili wa Tanzania kiuchumi.
Kuhesabu kura na kutoa matoke muda mfupi haitegemeani na maendeleo ya nchi. Teknolojia zipo na nchi yetu inamudu vizuri kuzinunua.

Kama Mozambique, Malawi wanaweza sisi tunashindwa nini?
 
Sisi kama Watanzania na tume yetu Huru ya uchaguzi kuna jambo la kujifunza.

Ujerumani ni nchi ya watu mil 83, wamefanya uchaguzi mkuu jana uliokuwa na ushindani mkubwa sana na ukifuatiliwa ulimwenguni kote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Inasemekana masaa nane baada ya uchaguzi, wameshamaliza zoezi la kuhesabu kura na matokeo ya awali yametoka, matokeo ambayo huwa hayatofautiani pakubwa na matokeo rasmi. Tume yetu Huru ya Uchaguzi iige mfano huu, matokeo yajulikane mapema na siyo hadi kutokee mivutano ndipo yatangazwe hasa yale ya wabunge na madiwani.

View attachment 3247558
Chadema wajumbe 1,200 walitumia siku 2 🤣🤣🤣
 
Sisi kama Watanzania na tume yetu Huru ya uchaguzi kuna jambo la kujifunza.

Ujerumani ni nchi ya watu mil 83, wamefanya uchaguzi mkuu jana uliokuwa na ushindani mkubwa sana na ukifuatiliwa ulimwenguni kote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Inasemekana masaa nane baada ya uchaguzi, wameshamaliza zoezi la kuhesabu kura na matokeo ya awali yametoka, matokeo ambayo huwa hayatofautiani pakubwa na matokeo rasmi. Tume yetu Huru ya Uchaguzi iige mfano huu, matokeo yajulikane mapema na siyo hadi kutokee mivutano ndipo yatangazwe hasa yale ya wabunge na madiwani.

View attachment 3247558
Bongoland ni nchi ya vichekesho. Watu ni wabunifu kwenye uchawa na wizi tu.
 
Kuna chama uchaguzi wa baraza tu watu walikaa siku nne. Yanga bingwa
 
Mercedes-Benz hao wapo mbali sana hao wenzetu waligundua Benz inayotumia matairi matatu mwaka 1885-1886 sisi vitu vinavyotumia matairi matatu tunatumia 2025 vimeboreshwa na kuwa Bajaji sasa kaangalie Mercedes ya 2025.
Tena ni guta sio gari pigia mtari hapo,kabla ya toyo tulianza gundua guta,nakumbuka kuna jamaa mmoja alikua anapita morogoro road na guta lake limejaza km tani moja plus anakimbia nalo mpk mjini toka mabibo au tandale sokoni mwamba alikua anaimba njia nzima
 
Hahaahaha ety malinyi...wilaya ipo pembeni sana yani.....ety wanaita morogoro ile
Mkuu nikupe changamoto, jimbo la Kinondoni linashindwa vipi kumaliza kuhesabu kura kwa siku tatu? Yaani linakuwa sawa na Jimbo la Malinyi?
hahahha
 
Back
Top Bottom