Ujerumani yaipigia magoti Urusi kuiomba kukubali kupokea spea ya Turbine inayotumika kwenye Nord stream1

Ujerumani yaipigia magoti Urusi kuiomba kukubali kupokea spea ya Turbine inayotumika kwenye Nord stream1

uwezo wa kufanya ivyo bado awajaupata germany awezi kukubali jambo kama ilo litokee uchumi wake 46% unategemea gesi ya urusi na nchi nyingine za ulaya germany anawabembelza warusi wauchkue uwo mtambo ili waongeze flow ya gesi kwenda kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
Inabidi na wao wapunguze weapons flowing to Ukraine.
 
Baniani mbaya, kiatu chake dawa. Ila tujifunze hapa. Marekani itawawekea vikwazo wale ambao watafanya biashara na Mataifa ambayo wana uhasama nayo. Nchi nyingi za Afrika zinaangukia hapo. Lakini maji yakizidi unga, huna budi kunyenyekea. Je, utakuwa tayari watu wako waathirike ili tu kumpendeza fulani? Hebu tuone nini wataifanyia Ujerumani kwa hilo wanaloliomba kwa Warusi.
 
Vyombo vya kijasusi vya Urusi mahili sana, wanajua kilicho fanyika nyuma ya pazia, sina shaka Wacanada na Waingereza wameshirikiana kuiwekea virusi turbine ili ikifungwa kwenye pump za kusukumia gesi huko Urusi baada ya muda fulani ishindwe kufanya kazi vile vile ku-infect pump nyingine kwenye mtandao wa usambazaji gesi huko Ulaya au Wacanada na Waingereza kuziharibu pump turbines kwa kupitia kwenye mtandao.
Basi wewe ni jasusi mzuri sana mpaka umegundua mipango ya waingereza hahahaah...god bless Tanzania
 
Take it back: Scholz calls on Russia to accept turbine needed for Europe's gas supplies.

German Chancellor Olaf Scholz has slammed Moscow over its refusal to take back a key piece of equipment used to pump gas from Russia to Germany.

Visiting Siemens Energy near Duisburg, Scholz took the opportunity to see the turbine which has found itself stranded in Germany after being returned from Canada.

The part, which is used on the Nord Stream 1 pipeline, was being serviced by Siemens in Montreal but the Canadian Government prevented it being returned citing sanctions against Russia. That prompted Berlin to successfully lobby the Canadian Government to make an exception to the rules, given the turbine's role on the Russia to Western Europe gas route.

"I am extremely grateful to the Government of Canada and Prime Minister Trudeau. I'm thankful for their willingness to help Europe and enable the export of this turbine," Scholz said.

But despite the component making it back to Europe, Scholz now says Russia is refusing to accept it. [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]

"What is important to me is to make clear that this turbine can be deployed at any time and that it can be used. There is nothing standing in the way of its onward transport to Russia, except that the Russian buyers have to indicate that they also want the turbine and provide the necessary information for the customs to transport to Russia. All other approvals have been obtained," he said.

"There are no reasons why this delivery cannot take place. And to demonstrate that, to understand that, to show that, is one reason why I am very grateful that I was able to look at this with my own eyes today and also to be able to show to everybody else that there is nothing mystical going on here," he added.

Russia has cut gas supplies to Germany in recent weeks, citing the missing turbine and technical issues. Gazprom has said it can't take back the turbine until further paperwork is provided.

Kremlin spookesman Dmitry Peskov said Wednesday morning: "We need to make sure it (the turbine) is not sanctioned and we need to make sure that, based on some sanction circulars and so on, this very British company, a Siemens subsidiary, will not remotely shut down this turbine."

A senior manager at Gazprom has said the delivery of the turbine after servicing was not in line with the contract and that it had been sent to Germany without Russia's consent.

But Christian Bruch, Siemens Energy CEO said: "Naturally, we have a great interest in getting this replacement turbine back to Russia with the support of the German government".

"What is missing from this? From our point of view, all the papers, customs documents, transport documents, as far as we can prepare them, are prepared. However, we need contributions from the customer, meaning Gazprom, which are not forthcoming at the moment, so that we cannot transport this turbine, even though we have had it here for over a week."

Fearing gas shortages over the winter, the German Government has called on citizens to try and reduce electricity use now in order to allow the lower than expected gas flows to be redirected from power generation to storage tanks.

Kazi wanayo si wanajifanya kufadhili Ukrein wataisoma namba hadi watubu
Nionyeshe sehemu kwenye haya maneno yanayosema TUNAPIGA MAGOTI au TUKO CHINI YA MIGUU YAKO.....Kinyume na hapo punguza mahaba siku hizi ukikoswa na mimba harisi kuna ya kupandikiza....
 
Take it back: Scholz calls on Russia to accept turbine needed for Europe's gas supplies.

German Chancellor Olaf Scholz has slammed Moscow over its refusal to take back a key piece of equipment used to pump gas from Russia to Germany.

Visiting Siemens Energy near Duisburg, Scholz took the opportunity to see the turbine which has found itself stranded in Germany after being returned from Canada.

The part, which is used on the Nord Stream 1 pipeline, was being serviced by Siemens in Montreal but the Canadian Government prevented it being returned citing sanctions against Russia. That prompted Berlin to successfully lobby the Canadian Government to make an exception to the rules, given the turbine's role on the Russia to Western Europe gas route.

"I am extremely grateful to the Government of Canada and Prime Minister Trudeau. I'm thankful for their willingness to help Europe and enable the export of this turbine," Scholz said.

But despite the component making it back to Europe, Scholz now says Russia is refusing to accept it. 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅

"What is important to me is to make clear that this turbine can be deployed at any time and that it can be used. There is nothing standing in the way of its onward transport to Russia, except that the Russian buyers have to indicate that they also want the turbine and provide the necessary information for the customs to transport to Russia. All other approvals have been obtained," he said.

"There are no reasons why this delivery cannot take place. And to demonstrate that, to understand that, to show that, is one reason why I am very grateful that I was able to look at this with my own eyes today and also to be able to show to everybody else that there is nothing mystical going on here," he added.

Russia has cut gas supplies to Germany in recent weeks, citing the missing turbine and technical issues. Gazprom has said it can't take back the turbine until further paperwork is provided.

Kremlin spookesman Dmitry Peskov said Wednesday morning: "We need to make sure it (the turbine) is not sanctioned and we need to make sure that, based on some sanction circulars and so on, this very British company, a Siemens subsidiary, will not remotely shut down this turbine."

A senior manager at Gazprom has said the delivery of the turbine after servicing was not in line with the contract and that it had been sent to Germany without Russia's consent.

But Christian Bruch, Siemens Energy CEO said: "Naturally, we have a great interest in getting this replacement turbine back to Russia with the support of the German government".

"What is missing from this? From our point of view, all the papers, customs documents, transport documents, as far as we can prepare them, are prepared. However, we need contributions from the customer, meaning Gazprom, which are not forthcoming at the moment, so that we cannot transport this turbine, even though we have had it here for over a week."

Fearing gas shortages over the winter, the German Government has called on citizens to try and reduce electricity use now in order to allow the lower than expected gas flows to be redirected from power generation to storage tanks.

Kazi wanayo si wanajifanya kufadhili Ukrein wataisoma namba hadi watubu
Kilio chake kinahuzunisha utasema ni mke aliyeachwa.
 
Hivi mshaona kwenye mechi mpaka kuna muda mechi zinaahirishwa ile barafu huwa inadondoka. Vado miezi mingapi tufikie kipindi kile cha barafu Ulaya, msgawqza bila gesi majumbani waty wataishije? Muda wa viongozi wa Ulaya sasa nao kulia, na stoku inarlekea kukata na mwamba hapampu gesi kwenda Ulaya[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ikifikia kipindi cha baridi hakuna viongozi Ulaya watang'oka.kwa maandamano ya raia
 
Ama kwel Tanzania ni taifa la tatu kwa ujasusi duniani

Mkuu nimesoma vizuri masuala haya ya instrumentation and control systems, sisemi mambo ya kubuni hapa, have hand on experience kwenye Siemens,Matsubishi na Madicon programmable logic controllers najua vizuri jinsi zinavyo weza kuchezewa kwa kuongezewa an embedded subroutine programs zinajifyatua at opportune time na kuharibu machine beyond repair-tunapo sema vitu vya teknolojia kuna mambo mengi tunayafikiria.

Unaposema Tanzania la tatu kwa ujasusi sijui kama unamaanisha au ni njia ya kunikejeri - wakati mwingine ndio baadhi ya Watanzania tulivyo, mpaka aseme ngozi nyeupe ndio wanachukuliwa seriously.
 
Mkuu nimesoma vizuri masuala haya ya instrumentation and control systems, sisemi mambo ya kubuni hapa, have hand on experience kwenye Siemens,Matsubishi na Madicon programmable logic controllers najua vizuri jinsi zinavyo weza kuchezewa kwa kuongezewa an embedded subroutine programs zinajifyatua at opportune time na kuharibu machine beyond repair-tunapo sema vitu vya teknolojia kuna mambo mengi tunayafikiria.

Unaposema Tanzania la tatu kwa ujasusi sijui kama unamaanisha au ni njia ya kunikejeri - wakati mwingine ndio baadhi ya Watanzania tulivyo, mpaka aseme ngozi nyeupe ndio wanachukuliwa seriously.
Sasa kama amesoma vizuri hayo mambo mm ni nan nikubishie ?
 
Back
Top Bottom