Ujerumani yazuia kusanyika la watu zaidi ya wawili

Ujerumani yazuia kusanyika la watu zaidi ya wawili

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Ujerumani yazuia mkusanyiko wa watu zaidi ya wawili katika kupambana na #Covid19

Mamlaka zinasema, zuio hilo ni sahihi zaidi kuliko kuwataka watu wabaki nyumbani

Hadi sasa #Covid19 imeua watu 13,500 na watu 313,000 wameambukizwa ugonjwa huo

Ujerumani yazuia mkusanyiko wa watu zaidi ya wawili katika kupambana na #Covid19

====

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesema, zuio hilo ni sahihi zaidi kuliko kuwataka watu wabaki nyumbani. Watakao kiuka wanaweza pata adhabu


Kusanyiko la watu zaidi ya wawili linaloweza kuruhusiwa ni la watu wa familia moja wanaoishi pamoja. Pia wametakiwa kuongea kwa umbali wa mita 1.5 hadi 2.0


Zaidi Merkel alisema migahawa, saluni, na maduka ya wachora tatuu yatafungwa. Hadi sasa #Covid19 imeua watu 13,500 na watu 313,000 wameambukizwa ugonjwa huo

Chanzo: DW
 
Duh! Kama Mjerumani na teknolojia yake na wasomi wote na tafiti zote ila bado Corona inawatesa kiasi hichi, vipi kuhusu sisi huku?

Mungu atusaidie.
 
Haya mambo yanakuwa mazito sijapata ona dunia ikipitia kipindi kigumu kama hiki tangu nimezaliwa.
 
Haya mambo yanakuwa mazito sijapata ona dunia ikipitia kipindi kigumu kama hiki tangu nimezaliwa.
Na ikizidi utashuhudia zaidi ya hapo kuna Hadi bidhaa kuhadimika,kupanda thamani zaidi.. hata kumsogelea mtu itakuwa tabu ila sidhani kama tunaweza fika hapo.
 
Bora na yale maviwanda yao ya kutengeneza binduki yafungiliwe mbali ili na sisi huku Afrika tupumzike kuuana wenyewe kwa wenyewe.
 
FB_IMG_1584916993447.jpg


Kansela wa Ujerumani Angela Merkel (65) amejiweka Karantini baada ya kukutana na Daktari aliyethibitika kuwa na #covid_19


Aidha, mikusanyiko ya watu zaidi ya wawili imezuiwa nchini Ujerumani ili kupambana na maambukizi
 
Ikiwa bi mkubwa muheshimiwa mwenye wataalam wa hali ya juu na yeye pia kapatiwa mfadhaiko tena kupitia mtaalaam wake wa afya!!! Sasa sijui kina Bwakila huku Tz hali itakuwaje hapo miezi miwili ijayo.

Ujerumani yazuia mkusanyiko wa watu zaidi ya wawili katika kupambana na #Covid19

Mamlaka zinasema, zuio hilo ni sahihi zaidi kuliko kuwataka watu wabaki nyumbani

Hadi sasa #Covid19 imeua watu 13,500 na watu 313,000 wameambukizwa ugonjwa huo

Ujerumani yazuia mkusanyiko wa watu zaidi ya wawili katika kupambana na #Covid19

====

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesema, zuio hilo ni sahihi zaidi kuliko kuwataka watu wabaki nyumbani. Watakao kiuka wanaweza pata adhabu


Kusanyiko la watu zaidi ya wawili linaloweza kuruhusiwa ni la watu wa familia moja wanaoishi pamoja. Pia wametakiwa kuongea kwa umbali wa mita 1.5 hadi 2.0


Zaidi Merkel alisema migahawa, saluni, na maduka ya wachora tatuu yatafungwa. Hadi sasa #Covid19 imeua watu 13,500 na watu 313,000 wameambukizwa ugonjwa huo

Chanzo: DW

Siku hizi ukikohoa kikohozi cha ghafla au chafya kubwa ya kushtukiza ndani ya Basi la Abiria tu, tayari umeshaleta mfadhaiko mkubwa zaidi sana kwa raia wote wanaokuzunguka. Huwenda wengine wakaruka madirishani.

Daaah. Sikuwahi kudhania ipo siku tutakuja kujikuta na mazingira haya hapa ulimwenguni !!!
 
Back
Top Bottom