Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,345
- 10,885
Trust me, miundombinu inahusu sana katika utoaji na utendaji wa haki pamoja na uokoaji wa maisha.
You bet.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trust me, miundombinu inahusu sana katika utoaji na utendaji wa haki pamoja na uokoaji wa maisha.
hiii kesi ni ngumu, usiseme sio ngumu, ni kwamba tukio hili limemweka lulu katika hali ya kuharibiwa maisha, hata akitoka leo hii itamwathiri maisha yake yote, cha kuelewa ni kwamba, kuanzia sasaivi hadi siku upelelezi utakapokamilika na yeye kufungiwa PI (to be committed to the High court), itachukua muda kwa wapelelezi wa hapa tz, hata miaka miwili, muda wote huo atakuwa ndani. jalada likipelekwa kwa state attorney wakaangalia aina ya kosa la kumshitaki kulingana na maelezo ya mashahidi basi hapo ndo ataweza kupata dhamana kupitia high court kama itakuwa proposed kwamba ashitakiwe kwa manslaughter. baada ya hapo, atafungw amiaka michache tu, wkasababu kwa mazingira halisi, hii ilikuwa bahati mbaya na labda ilitokana na kupigana ambako kisheria huishia kwenye manslaughter. lakini kwa sasa, naweza sema uyu mtoto atatumikia jela si chini ya miaka minne kuanzia sasa, kusubiria upelelezi hadi kesi kusikilizwa. miaka hii kuishi jela si michache. akitoka future yote imeharibika. namwonea huruma sana.Duh, Namuonea huruma sana huyu binti., I wish ningekuwa mwanasheria nikamtetee hadi mwisho.Hii kesi sio ngumu sana kwa Lulu kama akipata mwanasheria mzuri.
Kaka hapa ndo uwezo wa jeshi la polisi unapopimwa, kama kzi yao ni kufyatua mabomu ya machozi tu au wanaweza kutafuta haki iliyofichika pia!
Tumeambiwa na hata kusoma kwamba:
1. Lulu alienda kwa Kanumba usiku mkali mishale ya saa 6, kusudi watoke kwenda kucheza muziki kwa msanii Chaz baba – Mashujaa band ( Kanumba alishapiga simu kutaka andaliwe viti na sehemu maalum ya kukaa yeye na marafiki zake na pia akiomba hata wimbo maalum atakapofika)
2. Lulu alitoka nje kusikiliza simu – Kanumba akamfuata na kumrudisha ndani ili aeleze anaongea na nani.( Hapa tunaona kabisa Kanumba akianzisha shari yeye mwenyewe badala ya kuepuka shari)
3. Kanumba alimfungia Lulu ndani wakawa wanagombana. Aggressor hapa ni Kanumba na siyo Lulu.Kelele za ugomvi ziliashiria vurugu na kwa vile mlango ulifungwa na ufunguo, ilikuwa vigumu Lulu kukimbia tena au hata watu nje kuja kutoa msaada.
4. Lulu alitoka nje kwenda kumwita Seth na kumwambia Kanumba kaanguka.Lulu alikimbia akiwa na majeraha.Hii haionyeshi kuwa Lulu aliua vinginevyo angetoka kimya kimya akatokomea.
WoS.
Na usije kushangazwa kama weekend ijayo mtakutana naye Ngwasuma maana nchi kila kitu kina wezekani.......labda kama alikuwa mchoyo kwa Wazee wa System, lakini kama aliwahi kutoa tunda angalau kwa raia mmoja wa pale magogoni basi nakuhakikishia she is out without any chargeangalau kuna mtu alienda kumuona huyu mtoto!
Halima mdee amefanya la maana sana,ningekua dar ningeenda pia
ningekua mwanasheria ningeisubiri kama kuna "kesi/tuhuma" baada ya upelelezi kwa huyu mtoto
ngoja tuone mwisho wake!!
Biashara ya polisi imefanyika asubuhi!. By the time daktari wa K anafika pale, he was no more long ago alimkuta cold!, eti aliogopa kusema the game is over ili watu wasi panic. Tukio limeripotiwa polisi baada ya mwili kufikishwa Muhimbili na kukataliwa kupokelewa kwanza bila PF.3.Wakati gani sasa walimvisha marehemu? Kabla au baada ya polisi kuja?(i am just curious)
Mkuu Matola, kosa langu ni kuwa very frank!, huwezi kuhudhuria maziko yoyote hapa mjini na ukajipenyeza mpaka makaburini bila kupita juu ya makaburi mengine!. Wana sio tuu wanakanyaga, infact ndio viti pekee kwa kina mama wengi ambao huwa hawawezi kusimama muda mrefu pale mazikoni. Kosa langu ni kusema nimepanda juu ya kaburi.Mkuu Pasco,
Kwanza thanks kwa hizi info ni useful kwa JF updates, ila ninakushangaa wewe kuwashangaa hao wasanii kupiga picha dead body, wakati wewe huna tofauti yeyote na hao kwa kitendo chako cha kupalamia makaburi ya watu kule Kilombero ili upate picha ya Dr Slaa na JK!
Kweli nimeamini Nyani halioni kundule!!....
Unaona sasa!!! Hao ndo madaktari mnategemea eti watatibu watu mahtuti pai hata kuwa na PF3? Yaani badala ya kutoa taarifa polisi kwanza yeye akaona awafiche waliokuwepo....ridiculousBiashara ya polisi imefanyika asubuhi!. By the time daktari wa K anafika pale, he was no more long ago alimkuta cold!, eti aliogopa kusema the game is over ili watu wasi panic. Tukio limeripotiwa polisi baada ya mwili kufikishwa Muhimbili na kukataliwa kupokelewa kwanza bila PF.3.
Hao polisi walifika nyumbani asubuhi ndio kukuta hiyo JD kwenye glass.
Kuikweli kwenye investigation, polisi wetu ni bure kabisa!, sio tuu wana uwezo duni, bali hata interest hawana!. Ingekuwa ni polisi makini, hao wanaosema sema saa hizi mbona wangekuwa wanasemea pengine!.
Udhaifu huu wa polisi wetu ni good loophole kwa learned brothers and sisters wetu ku knock down PP kirahisi sana huko mahakamani ukijumlisha na majaji wetu hawa!. Wanaokwenda jela ni wale masikini ambao can't afford good lawyers. Ulipozuka ule ubishani kuhusu kesi ya kina Yona, Mramba na Mgonja, niliwaambia pale hakuna kesi, ni drama scene tuu wanatuletea!.
Hata sile za EPA za wenye fedha zao, mtaniambia!
Na usije kushangazwa kama weekend ijayo mtakutana naye Ngwasuma maana nchi kila kitu kina wezekani.......labda kama alikuwa mchoyo kwa Wazee wa System, lakini kama aliwahi kutoa tunda angalau kwa raia mmoja wa pale magogoni basi nakuhakikishia she is out without any charge
Biashara ya polisi imefanyika asubuhi!. By the time daktari wa K anafika pale, he was no more long ago alimkuta cold!, eti aliogopa kusema the game is over ili watu wasi panic. Tukio limeripotiwa polisi baada ya mwili kufikishwa Muhimbili na kukataliwa kupokelewa kwanza bila PF.3.
Umenena kweli kijana hapa inahitajika hekima na uchunguzi wakina.dah, nashkuru sana Womanofsubstance,
nakubalia na ujumbe wako kwa asilimia 100% kwamba ni ngumu sana kumuita lulu muuaji kuendana na hayo mazingira na hata kama atakua kwa njia moja amehusika na kifo cha kanumba naamini si kwa makusudi bali ni katika jitihada za kujinusuru!!
siamini kwamba lulu alitoka huko kote usiku kwa nia ya kwenda kuua jamani.....
Nilimpenda sana kanumba na kazi zake ila Mungu amempenda zaidi
Nampenda sana lulu, pamoja na ukorofi alonao bado anahitaji kutendewa haki katika hili
[h=6]Nipo kwenye msiba wa kanumba inabidi uje na parachut maana hamna pa kupita... sare ni, kope za kubandika, les wigs, madira trasparent,funguo za gari hata za kabati njoo nazo tu..!![/h]Hayo ndiyo matatizo ya kukosa emergency system(s) na watu kutojua wakati wa dharula wafanye nini.
Daktari wa marehemu akifika pale baada ya muda gani?
Na huyo daktari ana ujuzi wa huduma ya kwanza? Na alienda hapo na vifaa gani vya huduma ya kwanza?
Hivi hata hizo namba za dharula (112/111?) zina dispatchers wanaofanya kazi masaa 24 kweli?