Ujinga na umasikini wa wajumbe ndio unaomfanya Mbowe aendeleee kuwa mwenyekiti wa chadema milele.

Ujinga na umasikini wa wajumbe ndio unaomfanya Mbowe aendeleee kuwa mwenyekiti wa chadema milele.

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
jamani nafsi na roho yangu vinanishudia kuwa Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti wa chadema, nimeumia sana baada ya kuona hili jambo linaenda kutendeka, ukisoma vzr sana walaka wa marehemu "chacha wangwe" utagundua kuwa Mbowe sio rahisi kushindwa uchaguzi kwa sbb ya ujinga mkubwa, na umasikini wa wajumbe wa chadema, mbali na kwamba Mbowe anatuhuma nzito kabisa toka mda mrefu tangu amekuwa mwenyekiti wa chadema lakini BAdo ameendelea kuwa mwenyekiti wa chadema wa Taifa sio kwa ssb anapendwa ila kwa ssb ya ujinga na umasikini wa wajumbe wa mkutano mkuu
na watanzania kwa ujumla watanzania. tuhuma zake ni
1. Matumizi mabaya ya fedha za ruzuku ya CHAMA
2. Kupendelea wachaga wengi kuwa makao makuu
3. Kupendelea viti vya wambunge
4.matumizi mabaya ya madaraka
5. Kuendekeza ukanda wa kaskazini. Hii ni kwa mujibu wa walaka wa marehemu chacha wangwe. Zaidi ya miaka 20 mtu huyu anatuhumiwa na viongozi wenzake tofauti, zito kabwe,chacha wangwe, Dr silaa, na leo hii ni Tundu Lisu cha ajabu na kushangaza sana bado ni mwenyekiti na wote wanaomtuhumu wanakuwa "kick out "ya CHAMA , ukiwa na akili timamu bila kutumia emotions zako utagundua kuwa;
a) Wanachama wa chadema hasa wajumbe wa mkutano mkuu, ni wajinga, wa kiwango cha juu sana, inatia shaka hata elimu zao.
B) viongozi wa kanda, mikoa,wilaya, wengi wao ni masikini wa mali na fikra.
) Pia utajua kuwa Lisu ndio mpinzani wa kweli asie ogopa .
d) vile vile utajua kuwa Mbowe ni shadow wa serikali ya ccm hivyo ni ngumu kumtoa hapo kama mwenyekiti wa chadema kwa sbb yupo kwenye kaz maalumu kitengo cha siasa, kwa maana hiyo mbeleni huko nje na chadema na mbowe tutegemee serikali kutuletea mtu mwingine mbali Lisu awe shadow kwa ajili ya mchezo enedelevu, kwa ssb Mbowe atakuwa amepotea mvuto kwenye CHAMA na mbele ya watanzania.
NB Lisu usiondoke chadema no matter how ?" Haya yatakuwa justified January 23 2025 Nawatakia heri ya mwaka mpya 2025 ,Mungu ibariki Chadema
chini ya Lisu,Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
Hizi tuhuma zote zimetokea baada ya Mbowe kutangaza nia ya kugombea tena Uenyekiti?Kama zilikuwepo wewe Mwinjilisti ulikuwa wapi kusema hizo tuhuma.
Wacha unafiki.Wajumbe ndio wataamua nani awe Mwenyekiti. Na jamii ya kistaarabu inayoamini demokrasia huwa inafanya kampeni na kungoja matokeo baada ya uchaguzi.
Kelele hazisaidii.Na hakuna mtu anayeachiwa Uenyekiti bure.Boksi la kura litaamua.Alivyotimuliwa Zitto Kabwe kelele zilikuwepo na zitaendelea kuwepo.Chama ni taasisi sio mtu mmoja.
 
Hizi tuhuma zote zimetokea baada ya Mbowe kutangaza nia ya kugombea tena Uenyekiti?Kama zilikuwepo wewe Mwinjilisti ulikuwa wapi kusema hizo tuhuma.
Wacha unafiki.Wajumbe ndio wataamua nani awe Mwenyekiti. Na jamii ya kistaarabu inayoamini demokrasia huwa inafanya kampeni na kungoja matokeo baada ya uchaguzi.
Kelele hazisaidii.Na hakuna mtu anayeachiwa Uenyekiti bure.Boksi la kura litaamua.Alivyotimuliwa Zitto Kabwe kelele zilikuwepo na zitaendelea kuwepo.Chama ni taasisi sio mtu mmoja.
Upo sahihi mkuu CHAMA ni tasisi na sio cha Mbowe, ila soma vzr uzi wangu
 
Ni kweli wajumbe ndio Kinga aliobakiza Mbowe. Na ndio wanayofanya chawa wake waongee kwa kejeli kisa wameshawakamata wajumbe.
 
Ni kweli wajumbe ndio Kinga aliobakiza Mbowe. Na ndio wanayofanya chawa wake waongee kwa kejeli kisa wameshawakamata wajumbe.
Kabisa mkuu, ujinga na umasikini wa fikra ndio tatizo kwa wajumbe
 
jamani nafsi na roho yangu vinanishudia kuwa Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti wa chadema, nimeumia sana baada ya kuona hili jambo linaenda kutendeka, ukisoma vzr sana walaka wa marehemu "chacha wangwe" utagundua kuwa Mbowe sio rahisi kushindwa uchaguzi kwa sbb ya ujinga mkubwa, na umasikini wa wajumbe wa chadema, mbali na kwamba Mbowe anatuhuma nzito kabisa toka mda mrefu tangu amekuwa mwenyekiti wa chadema lakini BAdo ameendelea kuwa mwenyekiti wa chadema wa Taifa sio kwa ssb anapendwa ila kwa ssb ya ujinga na umasikini wa wajumbe wa mkutano mkuu
na watanzania kwa ujumla watanzania. tuhuma zake ni
1. Matumizi mabaya ya fedha za ruzuku ya CHAMA
2. Kupendelea wachaga wengi kuwa makao makuu
3. Kupendelea viti vya wambunge
4.matumizi mabaya ya madaraka
5. Kuendekeza ukanda wa kaskazini. Hii ni kwa mujibu wa walaka wa marehemu chacha wangwe. Zaidi ya miaka 20 mtu huyu anatuhumiwa na viongozi wenzake tofauti, zito kabwe,chacha wangwe, Dr silaa, na leo hii ni Tundu Lisu cha ajabu na kushangaza sana bado ni mwenyekiti na wote wanaomtuhumu wanakuwa "kick out "ya CHAMA , ukiwa na akili timamu bila kutumia emotions zako utagundua kuwa;
a) Wanachama wa chadema hasa wajumbe wa mkutano mkuu, ni wajinga, wa kiwango cha juu sana, inatia shaka hata elimu zao.
B) viongozi wa kanda, mikoa,wilaya, wengi wao ni masikini wa mali na fikra.
) Pia utajua kuwa Lisu ndio mpinzani wa kweli asie ogopa .
d) vile vile utajua kuwa Mbowe ni shadow wa serikali ya ccm hivyo ni ngumu kumtoa hapo kama mwenyekiti wa chadema kwa sbb yupo kwenye kaz maalumu kitengo cha siasa, kwa maana hiyo mbeleni huko nje na chadema na mbowe tutegemee serikali kutuletea mtu mwingine mbali Lisu awe shadow kwa ajili ya mchezo enedelevu, kwa ssb Mbowe atakuwa amepotea mvuto kwenye CHAMA na mbele ya watanzania.
NB Lisu usiondoke chadema no matter how ?" Haya yatakuwa justified January 23 2025 Nawatakia heri ya mwaka mpya 2025 ,Mungu ibariki Chadema
chini ya Lisu,Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Anaweza kushinda lakini mwisho wake utakuwa kama huyu
 

Attachments

  • GfuY-ekXQAAK7pI.jpeg
    GfuY-ekXQAAK7pI.jpeg
    68.5 KB · Views: 2
Atapangiwa kz nyinge kwenye kitengo
 
jamani nafsi na roho yangu vinanishudia kuwa Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti wa chadema, nimeumia sana baada ya kuona hili jambo linaenda kutendeka, ukisoma vzr sana walaka wa marehemu "chacha wangwe" utagundua kuwa Mbowe sio rahisi kushindwa uchaguzi kwa sbb ya ujinga mkubwa, na umasikini wa wajumbe wa chadema, mbali na kwamba Mbowe anatuhuma nzito kabisa toka mda mrefu tangu amekuwa mwenyekiti wa chadema lakini BAdo ameendelea kuwa mwenyekiti wa chadema wa Taifa sio kwa ssb anapendwa ila kwa ssb ya ujinga na umasikini wa wajumbe wa mkutano mkuu
na watanzania kwa ujumla watanzania. tuhuma zake ni
1. Matumizi mabaya ya fedha za ruzuku ya CHAMA
2. Kupendelea wachaga wengi kuwa makao makuu
3. Kupendelea viti vya wambunge
4.matumizi mabaya ya madaraka
5. Kuendekeza ukanda wa kaskazini. Hii ni kwa mujibu wa walaka wa marehemu chacha wangwe. Zaidi ya miaka 20 mtu huyu anatuhumiwa na viongozi wenzake tofauti, zito kabwe,chacha wangwe, Dr silaa, na leo hii ni Tundu Lisu cha ajabu na kushangaza sana bado ni mwenyekiti na wote wanaomtuhumu wanakuwa "kick out "ya CHAMA , ukiwa na akili timamu bila kutumia emotions zako utagundua kuwa;
a) Wanachama wa chadema hasa wajumbe wa mkutano mkuu, ni wajinga, wa kiwango cha juu sana, inatia shaka hata elimu zao.
B) viongozi wa kanda, mikoa,wilaya, wengi wao ni masikini wa mali na fikra.
) Pia utajua kuwa Lisu ndio mpinzani wa kweli asie ogopa .
d) vile vile utajua kuwa Mbowe ni shadow wa serikali ya ccm hivyo ni ngumu kumtoa hapo kama mwenyekiti wa chadema kwa sbb yupo kwenye kaz maalumu kitengo cha siasa, kwa maana hiyo mbeleni huko nje na chadema na mbowe tutegemee serikali kutuletea mtu mwingine mbali Lisu awe shadow kwa ajili ya mchezo enedelevu, kwa ssb Mbowe atakuwa amepotea mvuto kwenye CHAMA na mbele ya watanzania.
NB Lisu usiondoke chadema no matter how ?" Haya yatakuwa justified January 23 2025 Nawatakia heri ya mwaka mpya 2025 ,Mungu ibariki Chadema
chini ya Lisu,Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Yaani kambi ya Lissu mmeanza kuwatukana wajumbe? Tutakutana kwenye debe
 
Yaani kambi ya Lissu mmeanza kuwatukana wajumbe? Tutakutana kwenye debe
Sio kuwatukana huo ndio ukweli mtupu, mtu anakashifa nyingi za kukihujuma CHAMA BAdo mnangania
 
Hilo ndo shida ya watanzania mind set,
 
Back
Top Bottom