Unawaonea tu hao wajumbe, huo ndo mfumo wa siasa ulivyo dunia nzima... Lazima uwe mnafki kwa maslahi yako, hata huko kwa wanaotuhubiria demokrasia maisha ndo hayo hayo, ishu mfano ya ILLEGAL IMMIGRATION huko US ukiwaskiliza REPUBLICAN na DEMOCRATIC kila mmoja anatoa maoni kulingana na msimamo wa chama na si hali halisi ambayo inaonekana..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.