OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #161
Ukiwa mgeni na Matola utapata shida, huwa ni complicator muda woteMkuu Matola,
Vitu vingine watu wanafanya for experimental purposes only. Hata mimi naona kuna haja ya kulifanyia hili jambo experiment. BTW katoto ka 2000 tayari ni mtu mzima huyo.๐คช
(Kidding)
Hii ndio pwenti ya msingi, we hukuwa unapiga show na kalikuwa kanakuigizia yote kujifanya kame fall kakuteke kiboya. Ukuni unarindima kisawasawa mtu apate mda wa kuomba hela, aaaaa sio kweli.4. Ukiwa unakapiga show kaanza kuomba hela, kuomba material things. Yaani kanakatika huku kanaomba hela.
Baby nateseka kwenda kazini na boda ninunulie gari! Gari my foot๐ฎUnajua sio kitu ubaki kusimuliwa, mengine inabidi uonje ili kujua mambo mengi hata kama sio kila kitu. Kwa hiyo wakati fulani nikataka kuonja radha ya katoto ka miaka ya 2000s. Wakati huo kalikua na miaka 21.
Kale katoto ndio kalitoka kumaliza degree, kwa hiyo nikajiaminisha atakuwa anatumia akili za chuo kudeal na mapenzi. Ikawa tofauti kabisa, kumbe akifunga madaftari anabaki na ujinga uleule.
Ujinga ni mwingi, ila nitakumbuka machache
1. Akanikataza kumuita kwa jina lake. Akalazimisha nimuite mpenzi. Hii kwangu ilikuwa adhabu kubwa sana kumwita mpenzi wakati simpendi. Imagine upo ofisini na wakuu wenzako, umekula suti za Kihasibu mnapitisha malipo, halafu wanasikia unaita mtu Mpenzi kwenye simu
2. Ukiwa naye anataka muda wote awe na simu yangu eti kupima uaminifu wangu. Sms ikiingia anataka kwanza asome yeye.
3. Kuna siku nilifungiwa lodge. Mimi hata iweje huwa silali nje ya home. Kuna siku tulikuwa na miadi ya kula mzigo, tukachukua chumba kwa makubaliano ya saa 4 usiku tunaondoka. Ilipofika muda dogo akaficha funguo anataka tulale.
4. Ukiwa unakapiga show kaanza kuomba hela, kuomba material things. Yaani kanakatika huku kanaomba hela.
5.Ukitaka kwenda kumchukua kwao(alikuwa anaishi na dada yake) analazimisha usogee karibu kabisa ili majirani waone kama anafuatwa na gari.
Baada ya kujionea mwenyewe nikakapiga tukio la kuuma kakakimbia chenyewe.
My Take
Try this at your own risk.
Mjukuu wako pia ni wa 2000'sOur own mwasibu jameni! ๐๐๐ (Cc. kelphin)
On a serious note: Sidhani kama vitoto vyote vya 2000s viko hivyo. Naamini na vinavyojitambua na kuyaelewa maisha tena pure wife material vipo.
Hivyo usitumie ujinga wa hicho chako kisichojitambua kuvihukumu vitoto vyote vya 2000s. Endelea kutafuta vingine kama tu unajua unachokitafuta. Angalia tu usiishie kuviharibia maisha๐ถ๐ฟโโ๏ธ
Sema ukweli tu ni ka form 4 failure. Miaka 21 ndio kametoka kamaliza degree? Au degree ya mapenzi?Unajua sio kitu ubaki kusimuliwa, mengine inabidi uonje ili kujua mambo mengi hata kama sio kila kitu. Kwa hiyo wakati fulani nikataka kuonja radha ya katoto ka miaka ya 2000s. Wakati huo kalikua na miaka 21.
Kale katoto ndio kalitoka kumaliza degree, kwa hiyo nikajiaminisha atakuwa anatumia akili za chuo kudeal na mapenzi. Ikawa tofauti kabisa, kumbe akifunga madaftari anabaki na ujinga uleule.
Ujinga ni mwingi, ila nitakumbuka machache
1. Akanikataza kumuita kwa jina lake. Akalazimisha nimuite mpenzi. Hii kwangu ilikuwa adhabu kubwa sana kumwita mpenzi wakati simpendi. Imagine upo ofisini na wakuu wenzako, umekula suti za Kihasibu mnapitisha malipo, halafu wanasikia unaita mtu Mpenzi kwenye simu
2. Ukiwa naye anataka muda wote awe na simu yangu eti kupima uaminifu wangu. Sms ikiingia anataka kwanza asome yeye.
3. Kuna siku nilifungiwa lodge. Mimi hata iweje huwa silali nje ya home. Kuna siku tulikuwa na miadi ya kula mzigo, tukachukua chumba kwa makubaliano ya saa 4 usiku tunaondoka. Ilipofika muda dogo akaficha funguo anataka tulale.
4. Ukiwa unakapiga show kaanza kuomba hela, kuomba material things. Yaani kanakatika huku kanaomba hela.
5.Ukitaka kwenda kumchukua kwao(alikuwa anaishi na dada yake) analazimisha usogee karibu kabisa ili majirani waone kama anafuatwa na gari.
Baada ya kujionea mwenyewe nikakapiga tukio la kuuma kakakimbia chenyewe.
My Take
Try this at your own risk.