Ujinga uliopitiliza wa Digital Manager wa Yanga Priva Mangi Shayo

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Jamani hivi ni wehu au ushamba wa haya ma dude ya rangirangi unaweza kuyatumia saa kumi jioni yakaleta impact? Yataakisi vipi sasa? Mwishowe sasa mtasema hadi tochi za simu zitawashwa!

Meneja wa kitengo wa timu unapotezea tu watu hela zao, wayanunue waje wayawashe washindane na mwanga wa jua. Au mna hakika mnashinda kwamba mtaakaa uwanjani hadi usiku muwayawashe kushangilia?

NB: Picha iliyotumika siyo ya Tanzania.

 
Ukiona Mwanaume anaongea huku anabana Pua kama Mtoto wa Kike jua ana ( kuna ) tatizo mahala.

Kila Ia Kheri Al Hilal leo kwa Mkapa.
 
Tafta kazi ufanye kijana utaolewa mjini
 
Huu ni mwanzo tu..

Roho itakuuma mpka 2030[emoji12]
 
Wewe mleta bandiko ndio uache ushamba ayo madude Yana rangi tofauti aijalishi kuwe na mwanga wa jua au hakuna yenyenyewe Yana display rangi husika. Rudi kachunge Ng'ombe mambo ya mjini huyajui.
Ayo yalikua yanatumika tangu miaka ya 80' kwenye kufungua au kufunga mashindano ya Magari apo shamba la bibi Taifa Tena mchana kweupe kabisa.
 
Kanywe maji
 
Ndio uwezo wao ulipofikia, wangetamani iwe saa1 ucku ila ndio vile imeisha hio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…