njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
ndugu yake sope takadini wanavyodai naye ni MLEMAVU WA NGOZIHuyo mbona mzungu?
smoke bombs saa kumi jioni siyo kwenye jua? idiots kweliSijaona point yako
kwamba jua la saa kumi jioni unatarajia smoke bombs ikupe impact kama hii?Kunywa maji moyo uelee mkuu, umepanic kupitiliza
hilo linajulikana mkuuu , al hilal mnyonge wao team bovu la makolo....al hilal 0-yanga 4..mayele hat trickHata uanzishe nyuzi 100 ila leo Al hilal anapigwa kama ngoma 🥁🥁🥁
Ukiona Mwanaume anaongea huku anabana Pua kama Mtoto wa Kike jua ana ( kuna ) tatizo mahala.Jamani hivi ni wehu au ushamba haya ma dude ya rangirangi unaweza kuyatumia saa kumi jioni yakaleta impact? yata reflect vipi sasa? mwishowe sasa mtasema hadi torch za simu zitawashwa
Meneja wa kitengo wa team unapotezea tu watu hela zao wayanunue waje wayawashe washindane na mwanga wa jua au mna hakika mnashinda kwamba mtaakaa uwanjani hadi usiku muwayawashe kushangilia
NB: picha iliyotumika siyo ya TANZANIA
View attachment 2380499
kisauti cha mangi priva siyo?Ukiona Mwanaume anaongea huku anabana Pua kama Mtoto wa Kike jua ana ( kuna ) tatizo mahala.
Kila Ia Kheri Al Hilal leo kwa Mkapa.
Tafta kazi ufanye kijana utaolewa mjiniJamani hivi ni wehu au ushamba haya ma dude ya rangirangi unaweza kuyatumia saa kumi jioni yakaleta impact? yata reflect vipi sasa? mwishowe sasa mtasema hadi torch za simu zitawashwa
Meneja wa kitengo wa team unapotezea tu watu hela zao wayanunue waje wayawashe washindane na mwanga wa jua au mna hakika mnashinda kwamba mtaakaa uwanjani hadi usiku muwayawashe kushangilia
NB: picha iliyotumika siyo ya TANZANIA
View attachment 2380499
Huu ni mwanzo tu..Jamani hivi ni wehu au ushamba haya ma dude ya rangirangi unaweza kuyatumia saa kumi jioni yakaleta impact? yata reflect vipi sasa? mwishowe sasa mtasema hadi torch za simu zitawashwa
Meneja wa kitengo wa team unapotezea tu watu hela zao wayanunue waje wayawashe washindane na mwanga wa jua au mna hakika mnashinda kwamba mtaakaa uwanjani hadi usiku muwayawashe kushangilia
NB: picha iliyotumika siyo ya TANZANIA
View attachment 2380499
GENTAMYCIME Leo jitahidi kuwa mzalendo ishangilie utopolo si unajua Hili suala kitaifa mkuuUkiona Mwanaume anaongea huku anabana Pua kama Mtoto wa Kike jua ana ( kuna ) tatizo mahala.
Kila Ia Kheri Al Hilal leo kwa Mkapa.
Kanywe majiJamani hivi ni wehu au ushamba haya ma dude ya rangirangi unaweza kuyatumia saa kumi jioni yakaleta impact? yata reflect vipi sasa? mwishowe sasa mtasema hadi torch za simu zitawashwa
Meneja wa kitengo wa team unapotezea tu watu hela zao wayanunue waje wayawashe washindane na mwanga wa jua au mna hakika mnashinda kwamba mtaakaa uwanjani hadi usiku muwayawashe kushangilia
NB: picha iliyotumika siyo ya TANZANIA
View attachment 2380499
Ndio uwezo wao ulipofikia, wangetamani iwe saa1 ucku ila ndio vile imeisha hioJamani hivi ni wehu au ushamba haya ma dude ya rangirangi unaweza kuyatumia saa kumi jioni yakaleta impact? yata reflect vipi sasa? mwishowe sasa mtasema hadi torch za simu zitawashwa
Meneja wa kitengo wa team unapotezea tu watu hela zao wayanunue waje wayawashe washindane na mwanga wa jua au mna hakika mnashinda kwamba mtaakaa uwanjani hadi usiku muwayawashe kushangilia
NB: picha iliyotumika siyo ya TANZANIA
View attachment 2380499