Ujinga wa diamond kujiona yeye ni clouds zaidi kuliko media zingine ni Ujinga uliopitiliza

Radio popular kwa dar zinazosikika mikoani pia hazipungui tano
Na zina base ya kutosha tu
 
Radio popular kwa dar zinazosikika mikoani pia hazipungui tano
Na zina base ya kutosha tu
Kwanini ziwe tano tu...
kwanini mikoani nako kusiwe na redio zenye ubora…!?
bado hazitoshi izo tano, maana apo ni clouds na ea radio ndio zina fanbase kubwa nje ya dar.. zingine hamna kitu.
 
Habari yako si ya kweli na uache uongo na uzushi.

HIZI HAPA BAADHI YA PICHA ZA KWENYE MEDIA TOUR ZA UTANIPENDA ( bado hajatoa nyimbo nyingine toka atoe Je utanipenda.....)


Hii ni tbc.


Hii hapa inaonekana live E.fm.


Magic fm


Hapa Azzam tv.
 
Mkuu tour alikuwa anafanya zamani sio Sasa, kwa local media Sasa anafanya clouds kwa Sasa
Akishatoka hapo anaenda Nairobi na kwingineko
Sema Radio unazotaka wewe haendagi lakini kusema eti anatumia Clouds pekee ni uongo usio na maana yoyote! Mfano wa karibuni kabisa hata alipoizindua Utanipenda alienda hadi EFM!
 
Umeona hizo tours? Bint dawa yako ni....kama ya Diva ili baadae uache uzushi.
 
Acha urongo mtoa mada unaonekana unachuki binafsi au umetumwa uyo diamond tunamuona media zote za ndani na za nje kama vip nenda clouds ukawaambie we kweli ngapu
 
Labda anaangalia sehemu ambayo anaua ndege wawili kwa jiwe moja.....si unajua dunia ya leo muda ni mali ndugu.
 
Clouds wanajua ni wakarimu wale halafu wanajua kutengeneza personal connection. Msanii akiingia pale hatoki bure. Watampa japo kahela ka mafuta. Sasa nyie redio ligi ndogo njaa tupu nani awatembelee? Mtaishia kuwahoji haohao kina Sister P

Joined: Tuesday
Posts:157
Days:5
Av Posts per day:31

Bora bunge lionyeshwe tu live maana hawajazuia chochote.
 
Diamond platnumz au Diamond mwingine? Huwa namuona E fm, clouds, kuna kipindi meneja wake alikuwa anaenda kwenye media hadi za mikoani, kuhusu East Africa Tv nafikiri wanamgogoro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…