Ujinga wa mwafrika, maandiko ya kihistoria yenye mafundisho kuhusu vikwazo vya wa maendeleo kwa Mtanzania

Ujinga wa mwafrika, maandiko ya kihistoria yenye mafundisho kuhusu vikwazo vya wa maendeleo kwa Mtanzania

mavumbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2013
Posts
596
Reaction score
328
WADAU
AWAMU YA KWANZA ya uongozi Tz ilitoa fursa ya kuchapishwa maandiko ambayo yalikuwa na mafundisho muhimu kwa kutumia maudhui ya kujikosoa na ambayo yalitupa mafundisho mengi. Moja ya maandiko hayo ilikuwa kupitia vijitabu vidogo vilivyoitwa, UJINGA WA MWAFRIKA"

Miongoni mwa maandiko hayo ni pamoja na lililoonyesha namna Mwafrika anavyo danganywa na Ushirikina - Waganga wa Kieneyeji, na lile la "Kuleni wanangu, leo sikukuu yenu!"

Mwenye ufahamu kama maandiko haya yanapatikana na wapi tafadhali tupia hapa!
Baadhi tunadhani bado maandiko hayo yana tuhusu - RELEVANT hata leo.
 
WADAU
AWAMU YA KWANZA ya uongozi Tz ilitoa fursa ya kuchapishwa maandiko ambayo yalikuwa na mafundisho muhimu kwa kutumia maudhui ya kujikosoa na ambayo yalitupa mafundisho mengi. Moja ya maandiko hayo ilikuwa kupitia vijitabu vidogo vilivyoitwa, UJINGA WA MWAFRIKA"
Miongoni mwa maandiko hayo ni pamoja na lililoonyesha namna Mwafrika anavyo danganywa na Ushirikina - Waganga wa Kieneyeji, na lile la "Kuleni wanangu, leo sikukuu yenu!"
Mwenye ufahamu kama maandiko haya yanapatikana na wapi tafadhali tupia hapa!
Baadhi tunadhani bado maandiko hayo yana tuhusu - RELEVANT hata leo.
,,,,kwani wewe umeyatoa wapi Mkuu?
Nadhani ulipoyato ndipo yanapopatikana.
 
Back
Top Bottom