Mjukuu wa Sechenga
Member
- Nov 13, 2015
- 34
- 37
Sport pesa imesgakuwa na uyanga kwa hiyo tegemea tu kitu kama hichoSasa hapo ujinga uko wapi ? Je ww una fahamu simba wana weka bei gan. Ktk udhamin wao mpya ?
Hao watu 1M ni mtaaji wa kumvuta sponsor ili aweze kuleta udhamin wake
Sports pesa walishindwana na simba sc na haijulikan sportpesa walitoa offer to a uzamin wa bei gan
Nirahis kuamin alichokifanya huyo mdhamin ni kuchukua ile ambayo alitaka kuwapa Simba bac akaamua yote iende Yanga
Ushamba na ulimbukeni unawasumbua sana ndiyo maana mnajaza vinyesi kwenye chupi zenu.Kwa Sasa Simba inaendeshwa na watu chupri chupri inakwenda kukutana na Anguko kuu msimu ujao.
Subiri tamko tarehe Moja juu ya udhamini wa M-BET utaelewa.Maisha yana kwenda kasi sana, Wakati Yanga inafurahia kupata udhamini wa Bilion 12.335 kwa miaka mitatu, Wenzetu Simba wao wanafurahia kufikisha Followers milion 1 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tamko gani tena wakati mmeshasainishana na kubandua lebel kwenye tshirt 😂Subiri tamko tarehe Moja juu ya udhamini wa M-BET utaelewa.
Haha huko kwa firauni wanapigwa mishindo balaa hadi kocha anahofia uhai wa mkataba wake 😂Nasikia kocha wao anasingizia uwanja mbovu huko kwa farao, anaujua mkwakwani kweli? 🤪🤪
Platforms zote za simba haziingizi hata 500 millions per year.Maisha yana kwenda kasi sana, Wakati Yanga inafurahia kupata udhamini wa Bilion 12.335 kwa miaka mitatu, Wenzetu Simba wao wanafurahia kufikisha Followers milion 1 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti bakhresa akae ananidiscus mie kapuku 😂🤣Ukiona unamsema saana mtu jua kashakuzidi, hakuna Mkubwa anaehangaika kumsema aliye chini yake.
Hujui mpira, unalopoka tu.Simba ijayo itakua yamoto sanaaa natamani ligi ianze
Acha kuweweseka subiri jumatatu uambiwe B, za M-BET zitatangazwaMaisha yana kwenda kasi sana, Wakati Yanga inafurahia kupata udhamini wa Bilion 12.335 kwa miaka mitatu, Wenzetu Simba wao wanafurahia kufikisha Followers milion 1 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kupanga ni kuchagua[emoji23][emoji23]Maisha yana kwenda kasi sana, Wakati Yanga inafurahia kupata udhamini wa Bilion 12.335 kwa miaka mitatu, Wenzetu Simba wao wanafurahia kufikisha Followers milion 1 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]