Sijaelewa,yaani Royal Media(Kenya) wanamiliki Clouds Media Group(Tanzania)?.
Huyo dada wa Clouds 360, Babbie Kabae ni Mkenya wa kutokea Mombasa.
Ni mtanzania ila ameishi Nairobi i think hata elimu ya secondary kaipatia hukoBabbie Kabae kumbe Mkenya? Nilijua mtoto wa Tanga.
yeaaah ni yao mkuuNa clouds Rwanda ni yao?
umesahau n clouds plus mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]Ni royal media service, wana own Clouds FM, Clouds TV, Coconut FM na TV station nyingine wamefungua Dubai (kama sijakosea)... Pia wana companies za promotion/advertising kama Prime Time Promotion na projects kama Tanzania House Talent (THT), Fiesta etc...
Kwa kifupi ni hivyo...
Ni mtanzania ila ameishi Nairobi i think hata elimu ya secondary kaipatia huko
thanks broNi royal media service, wana own Clouds FM, Clouds TV, Coconut FM na TV station nyingine wamefungua Dubai (kama sijakosea)... Pia wana companies za promotion/advertising kama Prime Time Promotion na projects kama Tanzania House Talent (THT), Fiesta etc...
Kwa kifupi ni hivyo...
Hahahaaa true, ila hapo Tz clouds mchana hawana cha maana ni miziki tu hadi jioni...aisee hako kabinti apo kwa picha kamenikumbusha r chuga nina kabinti Salma mazee...totoz mtam hataree, nitafunga safari ya kushtukiza huko pindi odinga akiacha kuchafua hali ya hewa huku[emoji3] [emoji125]Waje tu ila Kenya huwa kuna ushindani sana kwenye media, lakini nina uhakika watapata ushabiki haswa pale Pwani. Na hawatavamiwa na mapolisi kama anavyowanyaga Makonda pale Bongo.
Kuna huyu mdada hunitia wazimu kila nikimtazama kwenye kipindi chao cha asubuhi wakati nikiwa Bongo, halafu yuko freshi hata Kingereza.
Nina uhakika fisi mwezangu 1academ keshatia timu kula kwa macho kwake
Ongeza Clous TV RwandaNi royal media service, wana own Clouds FM, Clouds TV, Coconut FM na TV station nyingine wamefungua Dubai (kama sijakosea)... Pia wana companies za promotion/advertising kama Prime Time Promotion na projects kama Tanzania House Talent (THT), Fiesta etc...
Kwa kifupi ni hivyo...
Ni ya kwaoSina uhakika, ndiyo kwanza nasikia kwako...
Kama una dstv weka channel [HASHTAG]#294[/HASHTAG] utawajuahivi clouds media ni kama royal media service au ni station ya redio tu?...siwajui hawa mmi
Nahisi ni yao, maana msimu wa fiesta walianzia Rwanda na kituo hiki kimetumika sana kupiga promo la show hiyo!Na clouds Rwanda ni yao?
Mkenya yupi anaweza kuharibu mda wake eti anawatch TV za Tanzania? hao wana vitu za kishenzi ,,,,,,,kwanza utaoneshwa tu waganga wakiwa kule sumbawanga hamna lingine ,Wakenya huwatch news na program za maana.Kama una dstv weka channel [HASHTAG]#294[/HASHTAG] utawajua
Mkuu AZAM vipi nao wanazo TV za kutosha yaani Azam 1,2,3 Sports HD,Sports2,Sinema zetu na UFM radio.Kwa nini? Tuna IPP Media wana ITV, EATV, Capital TV, Radio One, East Africa radio, Capital Radio etc...
Kuna Africa Media Group wana CTN, Channel Ten, DTV, C2C, Magic Radio etc...
Kuna Tumaini Media wana Tumaini TV, Radio Tumaini, Radio Maria (nadhani kuna nyingine nimesahau jina) etc...
Kuna Tanzania Broadcasting Corporation wana TBC1, TBC2, TBC FM, TBC Taifa etc...
Hizo ndiyo nilizokumbuka...
Ha ha haaaa, naona baby kabaye anakupa wakati mgumu sana! BTW, hapo pwani watapata wasikilizaji/watazamaji wa kutosha maana tamaduni za hapo na bongo haziachani sanaWaje tu ila Kenya huwa kuna ushindani sana kwenye media, lakini nina uhakika watapata ushabiki haswa pale Pwani. Na hawatavamiwa na mapolisi kama anavyowanyaga Makonda pale Bongo.
Kuna huyu mdada hunitia wazimu kila nikimtazama kwenye kipindi chao cha asubuhi wakati nikiwa Bongo, halafu yuko freshi hata Kingereza.
Nina uhakika fisi mwezangu 1academ keshatia timu kula kwa macho kwake
Nani kasema wameshindwa?? wako na 30% market share kwa hapa nyumban, sio wadogo kama unavyoweza dhani, nyie wasubirini tuHawa hawana cha maana,kama walishindwa Ku breakthrough huko kwao hapa ndio wataweza? it will very hard for them to 2% of the market share,considering that royal media,nation media and standard group controls 90% of the market share . watakua tu kama eburu TV ,kwanza wakitaka kuingia Kenya kitu cha kwanza si kumuona joho wanafaa waende kwa relevant authorities. kwanza waende kwa registrar of companies, then Communication authority of kenya .
Niliwahi kusikia mdau mmoja akiropoka kuwa mdada ana asili kama siyo Mombasa,Znz au Tanga,though wengi wakidai ni kutoka Mombasa ila kaolewa huku. Babie Kabae kama sikosei jina lake.Waje tu ila Kenya huwa kuna ushindani sana kwenye media, lakini nina uhakika watapata ushabiki haswa pale Pwani. Na hawatavamiwa na mapolisi kama anavyowanyaga Makonda pale Bongo.
Kuna huyu mdada hunitia wazimu kila nikimtazama kwenye kipindi chao cha asubuhi wakati nikiwa Bongo, halafu yuko freshi hata Kingereza.
Nina uhakika fisi mwezangu 1academ keshatia timu kula kwa macho kwake