Ujio clouds media Tanzania Mombasa county au vipi?

Ujio clouds media Tanzania Mombasa county au vipi?

Ni royal media service, wana own Clouds FM, Clouds TV, Coconut FM na TV station nyingine wamefungua Dubai (kama sijakosea)... Pia wana companies za promotion/advertising kama Prime Time Promotion na projects kama Tanzania House Talent (THT), Fiesta etc...

Kwa kifupi ni hivyo...
umesahau n clouds plus mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni royal media service, wana own Clouds FM, Clouds TV, Coconut FM na TV station nyingine wamefungua Dubai (kama sijakosea)... Pia wana companies za promotion/advertising kama Prime Time Promotion na projects kama Tanzania House Talent (THT), Fiesta etc...

Kwa kifupi ni hivyo...
thanks bro
 
Waje tu ila Kenya huwa kuna ushindani sana kwenye media, lakini nina uhakika watapata ushabiki haswa pale Pwani. Na hawatavamiwa na mapolisi kama anavyowanyaga Makonda pale Bongo.

Kuna huyu mdada hunitia wazimu kila nikimtazama kwenye kipindi chao cha asubuhi wakati nikiwa Bongo, halafu yuko freshi hata Kingereza.
Nina uhakika fisi mwezangu 1academ keshatia timu kula kwa macho kwake

maxresdefault.jpg
Hahahaaa true, ila hapo Tz clouds mchana hawana cha maana ni miziki tu hadi jioni...aisee hako kabinti apo kwa picha kamenikumbusha r chuga nina kabinti Salma mazee...totoz mtam hataree, nitafunga safari ya kushtukiza huko pindi odinga akiacha kuchafua hali ya hewa huku[emoji3] [emoji125]
 
Ni royal media service, wana own Clouds FM, Clouds TV, Coconut FM na TV station nyingine wamefungua Dubai (kama sijakosea)... Pia wana companies za promotion/advertising kama Prime Time Promotion na projects kama Tanzania House Talent (THT), Fiesta etc...

Kwa kifupi ni hivyo...
Ongeza Clous TV Rwanda
Na sehemu ya kujivinjari na kutumia pesa yako kwa raha
Inaitwa Escape One!!
 
Hawa hawana cha maana,kama walishindwa Ku breakthrough huko kwao hapa ndio wataweza? it will very hard for them to 2% of the market share,considering that royal media,nation media and standard group controls 90% of the market share . watakua tu kama eburu TV ,kwanza wakitaka kuingia Kenya kitu cha kwanza si kumuona joho wanafaa waende kwa relevant authorities. kwanza waende kwa registrar of companies, then Communication authority of kenya .
 
Kama una dstv weka channel [HASHTAG]#294[/HASHTAG] utawajua
Mkenya yupi anaweza kuharibu mda wake eti anawatch TV za Tanzania? hao wana vitu za kishenzi ,,,,,,,kwanza utaoneshwa tu waganga wakiwa kule sumbawanga hamna lingine ,Wakenya huwatch news na program za maana.
 
Kwa nini? Tuna IPP Media wana ITV, EATV, Capital TV, Radio One, East Africa radio, Capital Radio etc...

Kuna Africa Media Group wana CTN, Channel Ten, DTV, C2C, Magic Radio etc...

Kuna Tumaini Media wana Tumaini TV, Radio Tumaini, Radio Maria (nadhani kuna nyingine nimesahau jina) etc...

Kuna Tanzania Broadcasting Corporation wana TBC1, TBC2, TBC FM, TBC Taifa etc...

Hizo ndiyo nilizokumbuka...
Mkuu AZAM vipi nao wanazo TV za kutosha yaani Azam 1,2,3 Sports HD,Sports2,Sinema zetu na UFM radio.
 
Waje tu ila Kenya huwa kuna ushindani sana kwenye media, lakini nina uhakika watapata ushabiki haswa pale Pwani. Na hawatavamiwa na mapolisi kama anavyowanyaga Makonda pale Bongo.

Kuna huyu mdada hunitia wazimu kila nikimtazama kwenye kipindi chao cha asubuhi wakati nikiwa Bongo, halafu yuko freshi hata Kingereza.
Nina uhakika fisi mwezangu 1academ keshatia timu kula kwa macho kwake

maxresdefault.jpg
Ha ha haaaa, naona baby kabaye anakupa wakati mgumu sana! BTW, hapo pwani watapata wasikilizaji/watazamaji wa kutosha maana tamaduni za hapo na bongo haziachani sana

7d10347a723cb27df8677a5a47deaa94.jpg


BABBB.jpg
 
Hawa hawana cha maana,kama walishindwa Ku breakthrough huko kwao hapa ndio wataweza? it will very hard for them to 2% of the market share,considering that royal media,nation media and standard group controls 90% of the market share . watakua tu kama eburu TV ,kwanza wakitaka kuingia Kenya kitu cha kwanza si kumuona joho wanafaa waende kwa relevant authorities. kwanza waende kwa registrar of companies, then Communication authority of kenya .
Nani kasema wameshindwa?? wako na 30% market share kwa hapa nyumban, sio wadogo kama unavyoweza dhani, nyie wasubirini tu
 
Waje tu ila Kenya huwa kuna ushindani sana kwenye media, lakini nina uhakika watapata ushabiki haswa pale Pwani. Na hawatavamiwa na mapolisi kama anavyowanyaga Makonda pale Bongo.

Kuna huyu mdada hunitia wazimu kila nikimtazama kwenye kipindi chao cha asubuhi wakati nikiwa Bongo, halafu yuko freshi hata Kingereza.
Nina uhakika fisi mwezangu 1academ keshatia timu kula kwa macho kwake

maxresdefault.jpg
Niliwahi kusikia mdau mmoja akiropoka kuwa mdada ana asili kama siyo Mombasa,Znz au Tanga,though wengi wakidai ni kutoka Mombasa ila kaolewa huku. Babie Kabae kama sikosei jina lake.
 
Back
Top Bottom