Ujio clouds media Tanzania Mombasa county au vipi?

Ujio clouds media Tanzania Mombasa county au vipi?

Nimejua leo thanks to kilam
Yaani hunipa raha sana mtoto wa watu huyo hadi nasahau hata maudhui ya mada.
Ubazazi hadi kwa dada yako, yuko vizuri upstair na nadhani ni moja ya presenters wenye maono makubwa kwenye carrier yao, waeleze wenzako hawa clouds wako vizuri kwenye biashara Tanzania, Rwanda, Abudhabi ambako wanasikika 9 asian countries , hivo msiwabeze wako vizuri mno.
 
Mkenya yupi anaweza kuharibu mda wake eti anawatch TV za Tanzania? hao wana vitu za kishenzi ,,,,,,,kwanza utaoneshwa tu waganga wakiwa kule sumbawanga hamna lingine ,Wakenya huwatch news na program za maana.

Naona wewe ni mmoja wapo wa vijana ambao Babu Owino anawakunaga matako, stupid arrogant Kenyan.... Your a disgrace to the African race
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Kwa nini? Tuna IPP Media wana ITV, EATV, Capital TV, Radio One, East Africa radio, Capital Radio etc...

Kuna Africa Media Group wana CTN, Channel Ten, DTV, C2C, Magic Radio etc...

Kuna Tumaini Media wana Tumaini TV, Radio Tumaini, Radio Maria (nadhani kuna nyingine nimesahau jina) etc...

Kuna Tanzania Broadcasting Corporation wana TBC1, TBC2, TBC FM, TBC Taifa etc...

Hizo ndiyo nilizokumbuka...
Umesahau Sahara media group wanamiliki Redio free Africa,kiss fm,start tv
 
Mkenya yupi anaweza kuharibu mda wake eti anawatch TV za Tanzania? hao wana vitu za kishenzi ,,,,,,,kwanza utaoneshwa tu waganga wakiwa kule sumbawanga hamna lingine ,Wakenya huwatch news na program za maana.
Umesema kweli wakenya huangalia program za maana kama vile, ukabila, alshabab killings, Njaa kule Turkana na habari za rushwa za NYS. Hawawezi kupoteza muda wao na pesa zao kwenda kumuona Ally kiba na Diamond, wale wanaojazana kwenye show zao ni alshabab wote wale.
 
biashara sio hisia kaka. ni kujituma, utafiti wa soko, kusoma mode wa soko na uzoevu. hizo zingine ni bla..bla... bla tu
Hayo yote washafanya, kumbukeni kama muziki wa tz ndo media iliyoushikilia asilimia kubwa mpaka hapa ulipofika na hakuna wakuikamata bongo fleva kwa EAC, hawawezi shindwa kupenya kenya tena ktk ishu ya Entertainment na vijana naomba tu wakenya mjiandae kupokea burudani, naamini mpaka wanakuja hapo washafanya research yakutosha, they are real investors and competitors!
 
Muzik mnene wa E FM umewafanya jamaa wawaze nje ya boksi
 
Mkenya yupi anaweza kuharibu mda wake eti anawatch TV za Tanzania? hao wana vitu za kishenzi ,,,,,,,kwanza utaoneshwa tu waganga wakiwa kule sumbawanga hamna lingine ,Wakenya huwatch news na program za maana.
Hahaha we jamaa unachekesha.Naskia Azam TV imefika Kenya,vipi penetration yake so far?
 
Nafikiri watatumia advantage ya kiswahili cha Tanzania kinachopendwa sana Kenya.
kinapendwa na nani ? hawa jama wa kushrub maneno ,hivi majuzi tu mbunge wa nyali Mohammed Ali na yule mbunge wa tarime vijijini walikua KTN kwenye mahojiano kama ulifwatilia bila shaka unaweza ukatofautisha kati ya kiswahili chetu na chao,kama ni kiswahili basi pwani TV ingekua imeshinda royal media ,standard group na nation media lakini hata hawana 1% ,its all about what you give your viewers .
 
BABIE KABAE : Njia pekee ya kufanikiwa ni kujituma

Babie Kabae

Kwa ufupi
Onyesho hilo lilifahamika kama ‘Fashion for Health’. Onyesho hili lilifanyika katika Hoteli ya Serena, mimi nilikuwepo kuripoti lakini bi mkubwa huyu licha ya kuwa mwanahabari, siku ile alisimama kama mshereheshaji.

By Maimuna Kubegeya
Kwa mara ya kwanza nilikutana na mwanamke huyu visiwani Zanzibar. Ilikuwa mwaka 2010, kwenye onyesho kubwa la mitindo lililoandaliwa na Nguli Mustafa Hassanali.

Onyesho hilo lilifahamika kama ‘Fashion for Health’. Onyesho hili lilifanyika katika Hoteli ya Serena, mimi nilikuwepo kuripoti lakini bi mkubwa huyu licha ya kuwa mwanahabari, siku ile alisimama kama mshereheshaji.

Akiwa amebarikiwa sauti ya kipekee, huku akijiamini aliweza kuendesha onyesho hilo na kutokana na kujiamini kwake aliwateka wafuatiliaji na washabiki na hata kuwafanya wawe na shangwe kila wakati alipokuwa akizungumza.

Namzungumzia Babie Kabae mama wa watoto watatu mwenye asili ya Mombasa nchini Kenya, Mtangazaji wa Redio ya Choice FM.
Mkuu,Manji,Mo Dewji,Bakhresa wana asili ya Asia.Suala sio asili,suala ni uraia.Je Baby Kabaye ni raia wa Kenya au Tanzania?.
 
Hahaha we jamaa unachekesha.Naskia Azam TV imefika Kenya,vipi penetration yake so far?

Ipo!! me huona tu ikitangazwa lakini sijawahi chukua mda wangu kuiangalia ,maana Mimi kuna vitu huwa nafwatilia sana ,and that is news ,my favourite station is KTN 2 for news and citizen for other programs, ntv napitia updates sasa sina mda wa azam.
 
Umesema kweli wakenya huangalia program za maana kama vile, ukabila, alshabab killings, Njaa kule Turkana na habari za rushwa za NYS. Hawawezi kupoteza muda wao na pesa zao kwenda kumuona Ally kiba na Diamond, wale wanaojazana kwenye show zao ni alshabab wote wale.

First I don't listen to bongo music ,and am not a fan either, yes those things that you have mentioned we follow them closely ,those are challenges,and every country has got its own challenge na zetu tumezikubali ,and we are solving them out,we don't live in denial.
 
Ipo!! me huona tu ikitangazwa lakini sijawahi chukua mda wangu kuiangalia ,maana Mimi kuna vitu huwa nafwatilia sana ,and that is news ,my favourite station is KTN 2 for news and citizen for other programs, ntv napitia updates sasa sina mda wa azam.
Wao hawaji kwa ajili yako pekee, kuna watu wengi tu wanapenda kusikiliza na kuangalia, so calm down, this is business, the best will get accepted by majority, stay tuned, and be prepared to accept changes.
 
Naona wewe ni mmoja wapo wa vijana ambao Babu Owino anawakunaga matako, stupid arrogant Kenyan.... Your a disgrace to the African race
Naona wewe ni mmoja wapo wa vijana ambao Babu Owino anawakunaga matako, stupid arrogant Kenyan.... Your a disgrace to the African race
Naona wewe ni mmoja wapo wa vijana ambao Babu Owino anawakunaga matako, stupid arrogant Kenyan.... Your a disgrace to the African race
Naona wewe ni mmoja wapo wa vijana ambao Babu Owino anawakunaga matako, stupid arrogant Kenyan.... Your a disgrace to the African race

Ulijuaje kama babu ananikunaga matako? inamaanisha we ni mmoja wetu hebu niambie Jana alikunaga style ipi? natumai ulifurahia sana mboro yake,ni kubwa au ndogo? idiot.
 
First I don't listen to bongo music ,and am not a fan either, yes those things that you have mentioned we follow them closely ,those are challenges,and every country has got its own challenge na zetu tumezikubali ,and we are solving them out,we don't live in denial.
What do you do to mitigate the effect of tribalism?
 
Unajua unachokiongea kaka? Hebu angalia vizuri ulichoandika, wewe ni Mhandisi kumbuka.
Kama umefwatilia post zangu utagundua kuwa nimerekebisha hayo,it was just a slip of the hand ,and I wrote another post immediately to correct those omissions.
 
Back
Top Bottom