Ujio clouds media Tanzania Mombasa county au vipi?

What do you do to mitigate the effect of tribalism?
On Sunday I listened to neche ,mp for tarime vijijini ,and he said that tribalism is sprouting up in Tanzania, I don't think if this is a question that you should be asking instead you should be looking for ways to mitigate what is about to become a disaster in your country. I said as a country we don't live in denials.
 
Mkenya yupi anaweza kuharibu mda wake eti anawatch TV za Tanzania? hao wana vitu za kishenzi ,,,,,,,kwanza utaoneshwa tu waganga wakiwa kule sumbawanga hamna lingine ,Wakenya huwatch news na program za maana.
Five yrs of its operation, tukutane kwa tathmini mkuuu. Clouds siyo wa kisipoti kama unavyofikiria
 
Kusema tu kuwa wana vitu vya kishenzi maana yake umeangalia! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Endelea kuangalia ndg, kwa taarifa Kenya ni wachawi kuliko tz, kama unabisha turudi kule kwenye uzi wa uchawi tuweke takwimu.
Ha ha ha uzi wa uchawi upi? Wa mshana jr?
 
Mkuuu, nn tena hii? Mwache buana
 
You personally not a fan of Bongo music,but you know that Bongo music has a great following among Kenyans,right?
 
Mkenya yupi anaweza kuharibu mda wake eti anawatch TV za Tanzania? hao wana vitu za kishenzi ,,,,,,,kwanza utaoneshwa tu waganga wakiwa kule sumbawanga hamna lingine ,Wakenya huwatch news na program za maana.
Hehehe, we jamaa ni boya kweli.
 
What is your point so far?
 
Ipo!! me huona tu ikitangazwa lakini sijawahi chukua mda wangu kuiangalia ,maana Mimi kuna vitu huwa nafwatilia sana ,and that is news ,my favourite station is KTN 2 for news and citizen for other programs, ntv napitia updates sasa sina mda wa azam.
Hizo ni hobbies zako binafsi, wakenya wenzio waliobaki wanaangalia na wengine husikiliza online!

Haya wewe unasema unafuatilia KTN na citizen, mimi baba yangu yeye huwa anaangalia al Jazeera tu na kusoma magazeti! Je hapo unaweza kusema watanzania wote wanaangalia al Jazeera?


Acha mawazo mgando wewe!
 
What is your point so far?
 
See how stupid you are, yet you call yourself engineer,
Wewe ni Lofa tu kama malofa wengine,

Kumbe ni Issue yako personal halafu eti they won't, Who are you?
I bet u must be Gikuyu.
 
Should tribalism persist in tz, we will use the methods we used in the first place to eliminate it!
 
Hahaha sasa ni kwamba unawafundisha registration procedures kwamba hawazifahamu au?
Wapo Rwanda na wana TV and Radio plus Dubai wapo pia.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Uhuru vs Magufuli
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Uhuru vs Magufuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…