Unadhani wana akili fupi kama yako kwa kushindwa kujua lazima waende Communication authority? Au Company registration authority?Hawa hawana cha maana,kama walishindwa Ku breakthrough huko kwao hapa ndio wataweza? it will very hard for them to 2% of the market share,considering that royal media,nation media and standard group controls 90% of the market share . watakua tu kama eburu TV ,kwanza wakitaka kuingia Kenya kitu cha kwanza si kumuona joho wanafaa waende kwa relevant authorities. kwanza waende kwa registrar of companies, then Communication authority of kenya .
Five yrs of its operation, tukutane kwa tathmini mkuuu. Clouds siyo wa kisipoti kama unavyofikiria
Unadhani wana akili fupi kama yako kwa kushindwa kujua lazima waende Communication authority? Au Company registration authority?
Should tribalism persist in tz, we will use the methods we used in the first place to eliminate it!
See how stupid you are, yet you call yourself engineer,
Wewe ni Lofa tu kama malofa wengine,
Kumbe ni Issue yako personal halafu eti they won't, Who are you?
I bet u must be Gikuyu.
Yote kayataka Nyerere...! [emoji25] [emoji25]Nadhani ni lugha gongana hapo kwa jamaa, nahisi alidhani kuwa Royal Media maana yake ni Media group yoyote.
Wao hawaji kwa ajili yako pekee, kuna watu wengi tu wanapenda kusikiliza na kuangalia, so calm down, this is business, the best will get accepted by majority, stay tuned, and be prepared to accept changes.
Nani aliyekuambia kuna kitu rahisi?, hata huko kote waliko wamepambana na wamefanikiwa, unachotakiwa kujua ni kwamba hawa ni wafanya biashara, wapo kibiashara na wamejiandaa na mapambano, hawawezi kuingia kichwa kichwa, wameona wanaweza kupambana na wameona kuna faida kuja huko, wewe tulia uletewe utamu huko, utashangaa na kubaki mdomo wazi, wapo very creative and dynamic.Watu wengi wanapenda kusikiliza nini na kwangalia nini? you can not compete for business by basing on entertainment, sasa mnaringa eti cloud wapo hadi Rwanda sijui Dubai ndio nauliza kati ya azam na cloud gani bora? hata sisi tumeiweka ntv hadi Uganda na Rwanda ,,,waje wajaribu ila sijambo rahisi ,media industry is very competitive here and a new comer can not breakthrough that easily.
Clouds ya Dubai inapatikana kwenye cableNi royal media service, wana own Clouds FM, Clouds TV, Coconut FM na TV station nyingine wamefungua Dubai (kama sijakosea)... Pia wana companies za promotion/advertising kama Prime Time Promotion na projects kama Tanzania House Talent (THT), Fiesta etc...
Kwa kifupi ni hivyo...
Sure, siwezi kuishi maisha kama yako!Sijakataa Mimi ni masikini lakini hautawahi ishi maisha ninayoyaishi .
Watu wengi wanapenda kusikiliza nini na kwangalia nini? you can not compete for business by basing on entertainment, sasa mnaringa eti cloud wapo hadi Rwanda sijui Dubai ndio nauliza kati ya azam na cloud gani bora? hata sisi tumeiweka ntv hadi Uganda na Rwanda ,,,waje wajaribu ila sijambo rahisi ,media industry is very competitive here and a new comer can not breakthrough that easily.
azam na mbwembwe zake ameshindwa kufanya lolote la maana huku itakuwa clouds ambayo hata haijulikani kabisa???heri azam tulikuwa tukiwaskiaskiaHuyu Mkenya ni engineer wa kutengeneza mirungi tu hauna u engineer wowote.. Hater wa wabongo, Clouds are coming 4 u asshole better hide your silly face if you can't take it..
Nini tatizo lako kuhusu hilo?! Kama wao wamefanya utafiti wakaona hiyo % inawatosha shida yako niniWe have got over 40 TV stations in Kenya ,but we have only 4 major stations that control over 90% of the market share,so cloud TV will share the remaining 10% with other TV stations .its going to be an uphill task for them.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]You will live in denials till the end of the ages.
Kumbe uliangalia TBC pekee ukarule out! Pole sana kaka!Tv station za tz ni kero tupu, zero proffesionalism! Kenya kupenya itakuwa ngumu kwao. Hawa jamaa huwa wamejikunyata wakisoma habari utadhani kwenye studio zao kuna winter! Sura za huzuni hata kwenye habari zisozo za huzuni. Mavazi yao nayo ndo vioja utadhani wanaenda cheki game ya simba vs yanga! Nilitizama tbc1 siku moja ilikuwa ni kama comedy iliyojawa na huzuni. Big up KTN, K24Tv, NTV, KBC1, Citizen Kenya kuna media za kweli!